Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Nina hakika ombi langu litasikilizwa, Nina uhakika Mh Spika utaheshimu maombi yangu kama ambavyo umeheshimu maombi ya wale walio tajwa kwenye ripoti ya CAG yakuwa wasijadikiwe Sasa hivi Bali wabunge w Bunge lako tukufu wawajadiri NOvember.

Mh Spika naomba usnitishe mjadara wa bajeti tujadir na kufungua Wimbo wa nipeni MAUA YANGU kabla haujasambaa Tanzania nzima

Mh Spika naomba nikupe tps za baadhi ya maneno yaliyomo kwenye Wimbo huo hakika utakubaliana na Mimi!
" 1.Mimi sio ccm sio Chadema ila ukiweka ccm na andazi nachagua andazi" uwiiiiiiii

2.Ni jeshi gani limeshindwa kumjua kigogo mpaka Leo hii"?

3.Wabunge wengi mlichaguliwa Kwa nguvu za Mwendazake mnapo pata posho wakumbukeni hata ndugu zake chato(hapa na wewe umo huruki shoga angu).

Naomba kuishia hapo Bunge mtaniskia

Na kunitiiii kama mlivyo watii wezi.wa fedha za umma walio tajwa kwenye ripoti mkaguzi
Ni Mimi nilie chagua andazi!sifileo
 
Mi sio CCM sio Chadema, hili niliweke wazi. Ila Ukiweka CCM na Andazi nitachagua andazi
Chama cha Roma🤣🤣
BA293B86-934E-4ABD-BF38-E6E3DBBEFC82.jpeg
 
Back
Top Bottom