Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
Roma amechana makavu sana humo ni mzalendo wa kweli namkubali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kile kitu ambacho huingia kati kati ya makalio yako ukiwa umelala na kufanya kama kinaingia na kutoka kwa muda fulani, then kinakutemea mrenda mrenda. Umekijua?!Roma ndio nini?
Wameshaufungia😃😃😃Kapiga kotekote mpaka umeishiwa poz imebid ujivunge na.. Ni jambo jema 🤣🤣🤣🤣
Tuwajaribu na wapinzani. Watawala si wameshapata.
😅😅😅Kapiga kotekote mpaka umeishiwa poz imebid ujivunge na.. Ni jambo jema 🤣🤣🤣🤣
Nimemtumia mama yako hili swali akijibu ntarudi kukwambiaNi kile kitu ambacho huingia kati kati ya makalio yako ukiwa umelala na kufanya kama kinaingia na kutoka kwa muda fulani, then kinakutemea mrenda mrenda. Umekijua?!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
[emoji23]Nimemtumia mama yako hili swali akijibu ntarudi kukwambia
MadeluHaahaa yaan kabla sija acha mziki ninge flow kwenye bit za aina hizi...producer Paul alikua anatupa midundo....
Nilikua nafanya harakati za hip-hop enzi hizo.... napa nipo nafanya remix ya Roma 🤓🤓
Mwenye PhD wa karatu NDIO nani?
DJ ndio mbowe? Kuzima mziki ndio kulamba asali? Najaribu kuwaza""Simuamini mtawala na mpinzani simsadiki maana wanaendelea kukatika huku DJ kauzima mziki""
"Wanaomkosoa ndo wanaompenda wanaomsifia ndo maadui ili wapate teuzi ndo wanamlamba miguu"
Nireteeeeeeni GwajimaaaaaaaAskofu mfufua wafu anaiba kura za mpinzani, atashindwa kuiba sadaka kanisani.
🤣🤣🤣Uzur copy zishazagaa kila kona, hivyo wananchi wanaendelea kupata madini!!Wameshaufungia😃😃😃
[emoji23][emoji23]Hizi ndio nyimbo za kusikilizwa na wanaume sasa sio wale wabana pia eti sijui usishike kirungu utaita wazungu
Wameshaufungia😃😃😃
Askofu hakuiba uchaguzi, wananchi walimpigia kura, aliyeongeza kura bandia ni wasiojulikana.Askofu mfufua wafu anaiba kura za mpinzani, atashindwa kuiba sadaka kanisani.
Basata ni wanafanya kazi kizamani sana!! Sasa unafungia wimbo ambao tayari tunao katika vifaa vyetu kama simu, laptop, tablet nkWameshaufungia😃😃😃
Ndo wanasaidia kusambaza Kwa Kasi.Wameshaufungia😃😃😃
Sadaka ni ya kanisa, Kaz yake ni kufanya kaz ya Mungu Big Roma yuu sahihiAskofu hakuiba uchaguzi, wananchi walimpigia kura, aliyeongeza kura bandia ni wasiojulikana.
Pia sadaka ni AMRI, tumelazimishwa Kutoa SADAKA. Ilipo SADAKA ya mtu, ndipo ulipo moyo wa Mtu.
Uwe Wa Giza au wa Nuru, SADAKA lazima.
Usipotoa sadaka, usitegemee hatua yoyote maishani.
Usipotoa SADAKA ikateketezwa madhabahuni, Utateketea wewe.
Elfu kumi Yako ni shukrani tu, Mungu alimchinja mwana wake wa pekee kama sadaka ya Ukombozi wa Dunia nzima.
Siasa zibaki mahala pake, ya Mungu tumwachie Mungu.
Ukiona watafaidi watumishi, peleka sadaka Yako Kwa wajane na yatima.
Ameen.
Umeanza lini kuwa Gerson Msigwa? Mzee wa ufafanuziAskofu hakuiba uchaguzi, wananchi walimpigia kura, aliyeongeza kura bandia ni wasiojulikana.
Pia sadaka ni AMRI, tumelazimishwa Kutoa SADAKA. Ilipo SADAKA ya mtu, ndipo ulipo moyo wa Mtu.
Uwe Wa Giza au wa Nuru, SADAKA lazima.
Usipotoa sadaka, usitegemee hatua yoyote maishani.
Usipotoa SADAKA ikateketezwa madhabahuni, Utateketea wewe.
Elfu kumi Yako ni shukrani tu, Mungu alimchinja mwana wake wa pekee kama sadaka ya Ukombozi wa Dunia nzima.
Siasa zibaki mahala pake, ya Mungu tumwachie Mungu.
Ukiona watafaidi watumishi, peleka sadaka Yako Kwa wajane na yatima.
Ameen.