Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Hizi nyimbo ziwe zinapigwa Mashuleni Nchi nzima, maana wao ndio next generation watakaokuja kulipa haya madeni yanayokopwa na kutumika vibaya.

Huko kwenye reli SGR zimepigwa bilioni moja unusu kwa kila KM.
 
Wamemchokoza bea
9FFCB096-ABBE-41CB-A4BD-46A66666D977.jpeg
 
Kuna wimbo mpya umetoka. Si mwingine ni kijana wetu, Roma Mkatoliki.

Wimbo unaitwa "Nipeni Maua Yangu" humo ndani kuna madini ya kutosha. Roma Mkatoliki kama kawaida yake katoa ya moyoni yanayoendelea katika utawala huu wa awamu ya 6. Kama kawaida kanyoosha maelezo hajapindapinda.

Hakika baada ya kuusikiliza nampa maua yake ayanuse angali akiwa hai.

Ni mstari upi umekuvutia zaidi? Tushirikishe hapa...
"TATIZO MKISHAAPISHWA TU, MNAWAZA UCHAGUZI UJAO"...
Hahaha.. bonge la wimbo aseeh🫡
 
Kuna wimbo mpya umetoka. Si mwingine ni kijana wetu, Roma Mkatoliki.

Wimbo unaitwa "Nipeni Maua Yangu" humo ndani kuna madini ya kutosha. Roma Mkatoliki kama kawaida yake katoa ya moyoni yanayoendelea katika utawala huu wa awamu ya 6. Kama kawaida kanyoosha maelezo hajapindapinda.

Hakika baada ya kuusikiliza nampa maua yake ayanuse angali akiwa hai.

Ni mstari upi umekuvutia zaidi? Tushirikishe hapa...
Ujumbe murua kwa utawala wa CCM na walinda legacy!!
 
Huyo msomi mwenye digrii 3 anayeuza nyanya karatu ni nani? Utani na Mzee wa Mihogo Si mzuri😃😃😃

WAPINZANI wanaendelea kucheza mziki wakati DJ kazima mziki- kwamba Roma anajua pale Kuna NYUMBU?
 
Back
Top Bottom