Hivi kwa wimbo kama huu wanaweza kumpiga tanji??Roma hana mpango wa kurudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa wimbo kama huu wanaweza kumpiga tanji??Roma hana mpango wa kurudi
😂😂Mi sio CCM sio Chadema, hili niliweke wazi. Ila Ukiweka CCM na Andazi nitachagua andazi
Waoooh!!
"TATIZO MKISHAAPISHWA TU, MNAWAZA UCHAGUZI UJAO"...Kuna wimbo mpya umetoka. Si mwingine ni kijana wetu, Roma Mkatoliki.
Wimbo unaitwa "Nipeni Maua Yangu" humo ndani kuna madini ya kutosha. Roma Mkatoliki kama kawaida yake katoa ya moyoni yanayoendelea katika utawala huu wa awamu ya 6. Kama kawaida kanyoosha maelezo hajapindapinda.
Hakika baada ya kuusikiliza nampa maua yake ayanuse angali akiwa hai.
Ni mstari upi umekuvutia zaidi? Tushirikishe hapa...
Sina cha kuongeza.
Roma anaungan na Rais Samia kuhimiza umoja, haki na amani.
Pia anamkumbusha View attachment 2593056Rais kuwa wanaopongeza wanamlamba viatu ili awape Teuzi
Ujumbe murua kwa utawala wa CCM na walinda legacy!!Kuna wimbo mpya umetoka. Si mwingine ni kijana wetu, Roma Mkatoliki.
Wimbo unaitwa "Nipeni Maua Yangu" humo ndani kuna madini ya kutosha. Roma Mkatoliki kama kawaida yake katoa ya moyoni yanayoendelea katika utawala huu wa awamu ya 6. Kama kawaida kanyoosha maelezo hajapindapinda.
Hakika baada ya kuusikiliza nampa maua yake ayanuse angali akiwa hai.
Ni mstari upi umekuvutia zaidi? Tushirikishe hapa...
Kapiga kotekote mpaka umeishiwa poz imebid ujivunge na.. Ni jambo jema 🤣🤣🤣🤣Ni jambo jema
CCM na Andazi😂😂😂
Hello, legacy keeper!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo mwishoni lazima hiyo Baba ni Hayati JPM
WAPINZANI wanaendelea kucheza mziki wakati DJ keshazima mziki 😃😃😃Mbowe anastaafu lini?. Kasabisha Roma katupiga spana Wana CHADEMA.
Hata siasa zilw za vyuo vikuu za kujenga hoja na itikadi zilishafutika kitambo sana. Zile enzi za Kina Munyika, kina Makonda na kina Mukama hakuna tena.Bora akina roma waseme maana Sasa maana watu wamewekeza kwenye uchawa.
Ndio kashaua siasa zimebaki maigizo tu.WAPINZANI wanaendelea kucheza mziki wakati DJ keshazima mziki 😃😃😃