OnlyMarketer
Member
- Mar 15, 2022
- 52
- 42
Nimekaa palee nawaangalia tuuHaha "Jimbo hili haliendelei kisa mlichagua mpinzani" haya mmeshinda kote tuone Sasa mkiushinda huo mtihani[emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekaa palee nawaangalia tuuHaha "Jimbo hili haliendelei kisa mlichagua mpinzani" haya mmeshinda kote tuone Sasa mkiushinda huo mtihani[emoji38][emoji38]
Wengi tumeshaupata na tutaushare😆😆Wameshaufungia😃😃😃
Sadaka ni AMRI na agizo Kutoka Kwa Mungu,Askofu mfufua wafu anaiba kura za wapinzani,
Je atashindwa kuiba sadaka za waumini kanisani?
Haha alafu kama alijua vile, in second verse anasema " Na BASATA MSIJE MKAUFUUINGIA HUU WIMBO MSIKIE HILI, NI MZIGO WA SHINGO KUBEBA KICHWA KISICHO NA AKILI"😆😆Wameshaufungia😃😃😃
hii ni nyimbo au tarifa ya habari ya maudhui ya maudhi
February + Esther Luxury + Maradona wa MtamaHao mtu tatu ndani ya track moja ni Nani na Nani?
MumeoRoma ndio nini?
Kweli kabisa... Atleast wanawafungua watu.... Manake nchi inamazezeta sana hiiHizi ndio nyimbo za kusikilizwa na wanaume sasa sio wale wabana pia eti sijui usishike kirungu utaita wazungu
Dr slaa we vipi, huijui hii nchi mzee 😂😂😂😂😂😂Haahaa yaan kabla sija acha mziki ninge flow kwenye bit za aina hizi...producer Paul alikua anatupa midundo....
Nilikua nafanya harakati za hip-hop enzi hizo.... napa nipo nafanya remix ya Roma 🤓🤓
Mwenye PhD wa karatu NDIO nani?
🤓Dr slaa we vipi, huijui hii nchi mzee 😂😂😂😂😂😂
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787] INA maana kweli hamjui mumeweMumeo
Naiskiliza zaidi ya mara 10 mpaka sasa. Jamaa ana akili sana!Kwema humu,Roma mkatoliki kaachia ngoma na Abiud inayoenda kwa jina la "nipeni maua yangu" Daaah nimeisikiliza kwa kuirudia mara 3(×3), Daaah aisee mwamba Roma kaka kivingine baada ya kupotea kwa kipindi kirefu sasa amethibitisha kuwa anarudi rasmi kwenye game, kaeni mkao wa kula any time is tea time, tumemfanyia interview tukiwa ndani ya New York City Marekani, ni muda sasa kuinjoy vitu vikali achana na hawa wasanii wanaopapasana[emoji2960]