Nipeni maua yangu - Roma Mkatoliki
Kama hujapata kusikiliza wimbo wa Roma Mkatoliki basi hujachelewa;

1. Jeshi gani limeishindwa kumtambua Kigogo?

2. Nchi wameifanya mti.

3. Mbona mama anarudia kilemba? Afu mbona vyuma vimekaza afu mama anaificha ndizi?

4. Mimi sio CCM wala CHADEMA ilo niliweke wazi, nikiwekewa CCM na andazi mi nitachagua andazi.

5. Amjasikia remote iko Msoga?

6. Jimbo hili aliendelei kisa mlimchagua mpizani basi shinda na huu mtihani.

7. Wengine mmewaona viongozi wakazi walikuwa marapa (Mwana FA).

8. Vijana siasa ndio inaweka kila kitu safi.

9. Anayechelewesha mshafara ni ng'ombe wa mbele ila anapigwa wa nyuma ili apige kelele 🙏

Ujumbe Toka Kwa Roma Mkatoliki.

....... Tanzania Yangu......

images (3).jpeg
 
 
Hizi nyimbo ziwe zinapigwa Mashuleni Nchi nzima, maana wao ndio next generation watakaokuja kulipa haya madeni yanayokopwa na kutumika vibaya.

Huko kwenye reli SGR zimepigwa bilioni moja unusu kwa kila KM.

Kuna mturuki mmoja eti anashangaa why Mtanzania anatafuta maisha na biashara nje ya nchi wakati Tz kuna hela sana, amesema haya akiwa hajui kuwa hela wanazolipwa ni njia za panya, inauma sana
 
Hapo namba tatu...vyuma vikikaza vinafunguliwa na Ndizi?
Maana naona mama kaficha ndizi..
 
Kama hujapata kusikiliza wimbo wa Roma Mkatoliki basi hujachelewa;

1. Jeshi gani limeishindwa kumtambua Kigogo?

2. Nchi wameifanya mti.

3. Mbona mama anarudia kilemba? Afu mbona vyuma vimekaza afu mama anaificha ndizi?

4. Mimi sio CCM wala CHADEMA ilo niliweke wazi, nikiwekewa CCM na andazi mi nitachagua andazi.

5. Amjasikia remote iko Msoga?

6. Jimbo hili aliendelei kisa mlimchagua mpizani basi shinda na huu mtihani.

7. Wengine mmewaona viongozi wakazi walikuwa marapa (Mwana FA).

8. Vijana siasa ndio inaweka kila kitu safi.

9. Anayechelewesha mshafara ni ng'ombe wa mbele ila anapigwa wa nyuma ili apige kelele 🙏

Ujumbe Toka Kwa Roma Mkatoliki.

....... Tanzania Yangu......

View attachment 2593500
Mwenye huo wimbo atuwekee humu, namkubali sana huyu kijana, ni kati ya vijana wachache wenye uthubutu wa kusema ukweli huku wengi wakijiita machawa
 
Wanadamu tu wale wale. Nawaza ni lini tutabadilika, au ni kipi kitatubadilisha

Mazuri tunatenda na matunda yanaonekana, lakini wanashukuru ukishaenda. Hata ukifanyia ulimwengu mazuri binadamu hawana shukhrani, wanashukuru ukishaenda

Yatoka wapi hiyo tabia ya kutoshukuru angali mzima? Ndicho kinachonimaliza nguvu kwa yale ninayoyatenda yote

Nipeni maua yangu niyanuse angali mzima. Msisubiri nife ili mje kujaza mashada kwenye kaburi langu
 
Back
Top Bottom