singsang
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 435
- 642
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Mjingayaani humu kweli wapumbavu wapo wengi sana kufurahia upumbavu sasa hapo mnatukanwa nanyinyi mnafurahi eti wimbo mzuri kawageuza hmna akili nanyi mmekubali
Katumia toolbox zimaRoma katumia spana namba ngapi? Maana hajaacha mtu kawapiga spana wote!
CCM na Andazi!Be active, activate and activated
Wasalaam wana JF Miaka 50 baada ya uhuru bado nchi yetu ina struggle, mipango ya maendeleo na utekelezaji wake ni reflection ya pwagu na pwaguzi. Nafasi zote za kazi zina matakwa ya kielimu, ujuzi na uzoefu isipokua siasa yaani uwakilishi wa wananchi bungeni, ujue kusoma na kuandika tu...www.jamiiforums.com
😀😀😀Nyumbu hawajawahi kujielewa hata kwa dakika moja tu
Wakisema wenye akili wapite mbele na wewe utapita?yaani humu kweli wapumbavu wapo wengi sana kufurahia upumbavu sasa hapo mnatukanwa nanyinyi mnafurahi eti wimbo mzuri kawageuza hmna akili nanyi mmekubali
Injini ya isuzuKichwa cha suzuki engine ya fuso[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji848]
Ndo gwajima?Askofu mfufua wafu anaiba kura za wapinzani,
Je atashindwa kuiba sadaka za waumini kanisani?
kwa kweli tunakumiss roma.kijana huyu huwa namkubali sana pamoja na ney the true boy kwa mashairi yao.keep it up Roma we will never 4get you bro.