Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeshaanza mambo yenu. Umetumia kigezo gani mkuu?😅😅😅Sifa lazima tutoe pale inapostahili.
SIdhani kama afrika kuna msanii mwenye akili kama ROMA!
NIPENI MAUA YANGU.
![]()
Boomplay Music
www.boomplay.com
Abiud Mishori au Abiud Nani ?Sifa lazima tutoe pale inapostahili.
SIdhani kama afrika kuna msanii mwenye akili kama ROMA!
NIPENI MAUA YANGU.
![]()
Boomplay Music
www.boomplay.com
Self evaluation, sio everyone evaluation
Ila kwa bahati mbaya, kwenye bandiko lako hujasema kama hiyo ni self evaluation. Umeongea as if ni proven fact kwa kila mtuNimefurahi kuona una akili atleast ya kujua hii ni "Self evaluation"!
Tueleweshane baadhi ya verse kwenye Ile wimbo. Me nata kujua pale aliposema.Sifa lazima tutoe pale inapostahili.
SIdhani kama afrika kuna msanii mwenye akili kama ROMA!
NIPENI MAUA YANGU.
![]()
Boomplay Music
www.boomplay.com
Wote hao ni wafaransa,😆 sasa we changanya na zakoTueleweshane baadhi ya verse kwenye Ile wimbo. Me nata kujua pale aliposema.
"Klosi anapga ngolo kante, inamkuta mbape anafunga Pogba"
Tueleweshe mzeeWote hao ni wafaransa,[emoji38] sasa we changanya na zako