Nipeni njia ya kuingiza $2 online kwa siku

Ver very nice mkuu
 
Kwa nini usijifunze scalping mkuu
Itakulipa nakuhakikishia
Hakuna kilicho kigumu ukiamua
Ukiwa na dollar 50 kuingiza dollar 5 kwa siku ni Dakika moja tu
 
kwenye link naona neno referral. mambo ya referral sihitaji mzee
Daah wewe mzee una masharti mengi sana kwa mtu ambaye anahaha kutafuta 2 dollars kwa siku, Mara sitaki vitu intellectual, mara sihitaji referral, mara sitaki nini ... sasa kitu gani kwa ulimwengu wa sasa ambacho kitakuja tuuu kwa wepesi bila kuwa na skill yoyote?
 
Mimi nahitaji kazi ya kutranslate audio to hardcopy
Hiyo inaitwa transcription, una skills zake? Zipo aina 4 ila mbili ndizo zatumika sana yani verbatim- unaandika kila mzungumzaji anachosema hata akiguna, au akisitasita. Kina edited and itelligent - hii mfano akirudia neno au sentence kama si.msisitizo unaruka unaandika moja tu au anapenda tumia maneno kama you got me kila baada ya sentence, huyaandiki.
Hii kazi kwakweli siitaki kabisa
 
SME nikampuni ya uhakika kutoka Marekani inayolipa kwa masaa, kwa siku, kwa wiki, kwa mwezi, miezi hadi mwakaa

Naweza kujiungaje??

Jisajili kwa line yako kisha downlod App ya kampuni utakutana na offa yako ya Tsh 10,000/= iwekeze ukitaka uanze kuvuna faida 🤑🤑

Malipo hufanyikaje??

Malipo yote hufanyika Kwa njia mbili kama ifuatavyo👇

M PESA na mfumo wa USDT Kwa wale wenye Wallet

Vifurushi vyake vikoje??

Baadhi ya vifurushi vyake ni hivii hapa 👇

Ukiweka Tshs 30,000/= utapokea sh. 1440 kila siku kwa siku 7 kwa muda wa wiki 5

Ukiweka Tshs 80,000/= utapokea she 4320/= kila siku kwa mda wa siku 15 kwa muda wa wiki 10

Ukiweka Tshs 200,000/= unapokea shs 12,000/= kila sikuu kwa siku 30 kwa miezi mitano

Ukiweka Tshs 500,000/= Utapokea shs 34,000/= kila sikuu kwasiku 60 kwa miezi 10

Utawekeza tena na tenaa

Withdrawal

Kiwango cha chini cha utoaji ni Tsh 5000/= kwa njia ya m-pesa au USDT

withdrawal fee ni 15%

Jisajiri link

VMX7SZ7M


Ingia kwa group 👇
SME TANZANIA🇹🇿.
jisajili kisha download app alafu login kupitia taarifa zako za usajili.. utakuta ten ya offer investment unufaike.. ukitaka kuweka Hela Yako ni wewe but Sio lazia
 
hiyo ten unaweza kuitoa kabla ya kui invest?
 
Ponz scheme...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…