we jamaa kulikoni unamshushia matusi mazito kigagula wetu mpendwa, mjuaji wa kukwepa maswali?Pumbavu. Huna cha kufanya. Una matatizo ya akili. Nenda katibiwe. Pumbavu sana. Pumbavu. Wewe ni mpumbavu kati ya wapumbavu wote duniani wanaowaza mambo ya kipumbavu. No wonder hua na ugomvi na kila mtu, kwaio umekalisha kinembeh huko umeboeka ukaona uje utafute ugomvi. Mzee wako atakua hakukazi vizuri ndio mana unakuja kutafuta ugomvi wa lazima humu. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji867]
Dah! Nilitaka nimwage mada kumbe ni wewe πKama kichwa cha habari kinavyosema. yeyote yule, anzisha mada yoyote tulianzishe, wakati wowote.
Karibuni sana. Uwanja wa wazi huu, yeyote anaweza kuchangia na kuingilia mada. Hakuna kanuni rasmi isipokuwa kanuni za JF na za dola ziheshimiwe.
Mwl. Nyerere ndiye baba wa taifa hili aliyelijenga katika umoja, amani na mshikamano.Tafadhali anza kwa kuitambulisha mada unayotaka tuijadili. Mada ni nini hapo?
Zingatia neno "kutolewa bikra"Mada ni nini hapo?
Ilikuwa makosa serikali kuruhusu mavazi ya kidini kwa wanafunzi katika shule.Tafadhali anza kwa kuitambulisha mada unayotaka tuijadili. Mada ni nini hapo?
Hakuna ahadi yoyoteAsante kwa masahihisho. Sasa tuendelee na mada kuna ahadi yoyote kwa mwanamke peponi ama
Hakuna ahadi yoyote
Hapo kwenye mlo Sasa?hivi Kwa ulaji wetu wa bongo ugali maharage na dagaa mchele Kuna kufika climax kweli?au ndio Bora liende??Kama mwanamke hafikii climax kwa muda unaokubalika kikawaida, kuna uwezakano wa kuwa na mojawapo au zaidi ya matatizo mengi.
Binafsi naamini kama hujajiweka kwa kujitayarisha kwenye "sexuality" kisaikolojia ni tatizo kubwa.
Lakini kuna mengi sana; usafi, mlo, afya, matayarisho, lakini muhimu zaidi ni kujitambuwa na saikolojia.
Nawe pia kama upo GobaSawa mkuu. Uwe na usiku mwema kama upo bongo
ππππππππPumbavu. Huna cha kufanya. Una matatizo ya akili. Nenda katibiwe. Pumbavu sana. Pumbavu. Wewe ni mpumbavu kati ya wapumbavu wote duniani wanaowaza mambo ya kipumbavu. No wonder hua na ugomvi na kila mtu, kwaio umekalisha kinembeh huko umeboeka ukaona uje utafute ugomvi. Mzee wako atakua hakukazi vizuri ndio mana unakuja kutafuta ugomvi wa lazima humu. [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji867]
It begins with you.MADA: CHANGAMOTO YA WANAWAKE KUKOSA KUJIAMINI.
Wanawake tumekua na changamoto ya uoga na kutojiamini ni kitu kama nature...
Kwenye masuala ya muhimu katika jamii
Mfano hapa jf mada karibia zote za muhimu zinazofundisha, zinazoishi kila siku zimeanzishwa na wanaume
Siamini kama wanawake wa humu hatuna mada za madini za kuanzisha kuleta manufaa kwa wengine.
Nini kifanyike kuondokana na changamoto hii katika jamii japo hapa nimetolea mfano kwa wanawake wa jf lakini hili tatizo lipo katika jamii yote.
Tufanye nini kutatua au tuache kama ilivyo liwe suala la nature na tukubaliane nalo?