Nisaidieni kwa wote waliooa na kuolewa

Ni uelewa wa mtu na nafsi yake, kikubwa mjadiliane kwa pamoja kufikia muafaka.

Ndoa sio gereza bahati mbaya sana huku kwetu ndoa tunazichukulia tofauti na kizamani sana, mfano unataka kujiendeleza kielimu, uwezo upo / tunao kwa nini usisome?

Na kingine wanawake wengi wakishaolewa huwa wanashusha vitu vingi sana na kufocus kwenye malezi labda na bahati itokee apate biashara afanye, mambo ya kushika madaftari au kupambana apate kazi anayafuta kwanza.
 
Ndoa ni tena jukumu jingine aiseee
 
Simple, ukiolewa wewe sahau kuwa na ndoto, kama sio kwa kupenda basi kwa circumstances za maisha tu. Sababu utakosa important resources zote zitakazokuwezesha kukamilisha chochote cha maana. Time, personal decision-making, na independence in general.

Kingine ni kwamba kama ni kweli una ndoto za maana na una nia ya kweli ya kuzikamilisha basi hakuna faida wala umuhimu wowote wa wewe kuolewa kwa sasa. Panga muda wa ku-work on your dreams, utakutana na mtu mnayeendana mitazamo on the way au ndani ya hiyo timeline.
 
Ndoa inamambo mengi sana but level ya ndoto zako kuifanikisha isitofautiane pakubwa na mumeo then itatimia ikiwa beyond either mtaachana au utaiacha ndoto iendelee kuwa ndoto
 
Asante sana....nmekuelewa vizuri
 
Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto
Zitachukua muda kidogo hizo ndoto kutimia si unajua ukiingia usingizini kuna time interval ya kuupata usingizi mpaka kuifikia stage ya ndoto panachukua muda kidogo yaan mpaka mawimbi ya ubongo yatulie then ndio ndoto zinaanza kufanya kazi hapo, sasa ukishafika hio stage ndoto hua zinaanza kutimia kwanini umeuliza swali unakaribia kuolewa hivi karibuni?
 
Nmehitaji kujua niongeze knowledge nsije kuingia mtegoni
 
Habari zenu,

Naomba kuuliza swali:

Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto
Yas unatoa?
 
Habari zenu,

Naomba kuuliza swali:

Hivi mdada aliye na malengo na ndoto za kutimiza maishani mwake je, akiolewa anaweza kuzitimiza ndoto zake au ndo milango itakuwa imefungwa mazima ya kufikia ndoto zake na kubadilishwa kuwa mke na mama wa watoto
5 oclock in the morning whatchu gonna do outside the corner? Until the day.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…