n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Bado hujasema, mpaka useme yote. Baada ya mapambio, muanze kutafuta kitubio. R. I. P JPM, hakika ulikuwa shujaa kweli kweli.Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
uo wimbo tuwekee hapMimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
hata china waovu huuliwa, iran nako huuliwaJiwe alikua satan killer
Na bado!Hii biashara iliyokuja ya Makamba Jn, Riziwani, nchemba, Bashe, Doto, Maza wa magogoni, ukweli imetuchosha .
Ndo umeandika nini sasa hapo 🖕Jiwe alikua satan killer
Basi kama wewe siyo malaya basi ni shogaMalaya wa kiume ushamuona wapi wewe shoga.
Malaya ni wewe wa kike
Narudia KILA MKOJA ASHINDE MECHI ZAKE. Nyie misukule ya Magu endeleni kumsifia, na sisi TUSIOMPENDA tutaendelea KUFICHUA uchafu wake. Wasomaji ndiyo watakuwa waamuzi.Kwai
Hakuna anayemsafisha hapa bali nyinyi ndio mnatumia nguvu kumchafua na kushindana na marehemu, Watu wenyewe wanamkumbuka Magufuli na Samia hadi leo hawajamkubali sasa nani amsafishe Magufuli?
Kwani nchi ilikuwa kwenye vita hii hadi useme imetulia? Labda kama unazungumzia hao wakina Kikwete,January, Nape n.k waliyojiona hii nchi ni mali yao.
Samia sio tu mapungufu bali ni kama hakuna rais kabisa.
Zilipendwa hiiKwa vile wewe siyo mwana familia zizopoteza wapendwa wao kama Ben Saanane, Azory Gwanda, Akwilina, na wale wa kwenye viroba, basi una kila sababu ya kumshangilia Dikteta Magufuli.
Ila HAKIMU wa kweli alitenda alipompiga Magufuli fimbo kali kama aliyompiga Farao tarehe 17/ 03/ 21. Endelea kuoza huko uliko Magufuli
Rais Samia anayo mapungufu mamkubwa sana ktk uongozi wake. Usimamizi wa rasilimali, nidhamu ya watumishi, ufisadi, etc ni maeneo ni baadhi ya maeneo serikali imeonesha udhaifu mkubwa. Hata hivyo mh. Samia anavumulika kuliko shetani.Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Angekutia ukilema wewe hapo au kufilisiwa kwa hila, usingesema haya
Magufuri hakuwa na maajabu sana ila maboko anayotoa Kizimkazi yanamfanya aonekane alikuwa lulu
Umechelewa sana kujua,CHADEMA na uongo wao walikupoteza,hongera sana kushtukia majizi yaliyojificha nyuma ya kivuli cha Demokrasia. Karibu CCMMimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Yupo wapi huyo Magufuli sasa.Sasa kama ulikuwa hufuata sheria hata ningekuwa ndo mi Magufuli ninge kuuwa kabisa kufilisi tu na kutokutia kilema
Tena mbona shetani anavumilika kama mimi ndio ningekuwa Magu ningekuwa za ya kim jongo mauaji ya kushanta ya wala rushwa aiseeRais Samia anayo mapungufu mamkubwa sana ktk uongozi wake. Usimamizi wa rasilimali, nidhamu ya watumishi, ufisadi, etc ni maeneo ni baadhi ya maeneo serikali imeonesha udhaifu mkubwa. Hata hivyo mh. Samia anavumulika kuliko shetani.
Kwa niaba ya Sukuma Gang tumekusamehe!Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Ndio, wengine wakafie mbeleMarais bora wa nchi hii ni
J. K. Nyerere na
J. P. Magufuli
Wengine, hapana.
Yupo Mwingine atakuja soon tena kama una mambo ya ajabu ataanza na wewe kisha wengine sawaYupo wapi huyo Magufuli sasa.