Nisamehe Rais wangu Magufuli

Nisamehe Rais wangu Magufuli

Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Bado hujasema, mpaka useme yote. Baada ya mapambio, muanze kutafuta kitubio. R. I. P JPM, hakika ulikuwa shujaa kweli kweli.
 
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
uo wimbo tuwekee hap
 
Kwai

Hakuna anayemsafisha hapa bali nyinyi ndio mnatumia nguvu kumchafua na kushindana na marehemu, Watu wenyewe wanamkumbuka Magufuli na Samia hadi leo hawajamkubali sasa nani amsafishe Magufuli?

Kwani nchi ilikuwa kwenye vita hii hadi useme imetulia? Labda kama unazungumzia hao wakina Kikwete,January, Nape n.k waliyojiona hii nchi ni mali yao.

Samia sio tu mapungufu bali ni kama hakuna rais kabisa.
Narudia KILA MKOJA ASHINDE MECHI ZAKE. Nyie misukule ya Magu endeleni kumsifia, na sisi TUSIOMPENDA tutaendelea KUFICHUA uchafu wake. Wasomaji ndiyo watakuwa waamuzi.
 
Kwa vile wewe siyo mwana familia zizopoteza wapendwa wao kama Ben Saanane, Azory Gwanda, Akwilina, na wale wa kwenye viroba, basi una kila sababu ya kumshangilia Dikteta Magufuli.

Ila HAKIMU wa kweli alitenda alipompiga Magufuli fimbo kali kama aliyompiga Farao tarehe 17/ 03/ 21. Endelea kuoza huko uliko Magufuli
Zilipendwa hii
 
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Rais Samia anayo mapungufu mamkubwa sana ktk uongozi wake. Usimamizi wa rasilimali, nidhamu ya watumishi, ufisadi, etc ni maeneo ni baadhi ya maeneo serikali imeonesha udhaifu mkubwa. Hata hivyo mh. Samia anavumulika kuliko shetani.
 
Magufuri hakuwa na maajabu sana ila maboko anayotoa Kizimkazi yanamfanya aonekane alikuwa lulu
20240526_074435.jpg
Huyu pimbi wakujianika kwenye miamba kama kenge? Na kula mahindi hadharani kama nyani? CCM walitukosea sana, Ila Mungu akafanya masahihisho 17/ 03/21. Nchi iko salama mikononi mwa Samia
Screenshot_20240526_145316_Google.jpg
 
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Umechelewa sana kujua,CHADEMA na uongo wao walikupoteza,hongera sana kushtukia majizi yaliyojificha nyuma ya kivuli cha Demokrasia. Karibu CCM
 
Rais Samia anayo mapungufu mamkubwa sana ktk uongozi wake. Usimamizi wa rasilimali, nidhamu ya watumishi, ufisadi, etc ni maeneo ni baadhi ya maeneo serikali imeonesha udhaifu mkubwa. Hata hivyo mh. Samia anavumulika kuliko shetani.
Tena mbona shetani anavumilika kama mimi ndio ningekuwa Magu ningekuwa za ya kim jongo mauaji ya kushanta ya wala rushwa aisee
 
Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.

Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.
Kwa niaba ya Sukuma Gang tumekusamehe!
 
Back
Top Bottom