Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Moja tu na nilikuwa natumia sana asali mbichiNapenda sana parachichi, ndio tunda langu kubwa. Mimi acidity ndio inasumbua sana. Ulitumia chupa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja tu na nilikuwa natumia sana asali mbichiNapenda sana parachichi, ndio tunda langu kubwa. Mimi acidity ndio inasumbua sana. Ulitumia chupa ngapi?
Inahusiana vipi3rd law.... Newton
Mkuu sio rahisi wakuelewe pini ngumu sana hii.Dunia haipo na maradhi hayapo binadamu hawapo pia nikama ndoto. Au Animation game.
Ndani kunamatukio yote,watu,magari,wanyama,pombe,maadui majumba yakifahari na wanawake wazuri wenye chura ila uhalisia havipo kabisa nindoto tuu.
Ubongo kushindwa kupata tafsiri sahihi juu yako wewe mwenywe imefanya uone huu ndio uhalisia ila ndoto ukaipa jina
UONGO.
Sio wote tunajua fisikia mkuu unamaanisha nini3rd law.... Newton
Pambana. Hesabu tu utukufu wa M/munguWasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi[emoji848][emoji848]
Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini[emoji119][emoji119],.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..
Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu[emoji848][emoji848],. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??
Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Hua haiwezekani mtu kukuelewa ningumu sana achatubaki nauchizi wetu sisi tushapagawa.Mkuu sio rahisi wakuelewe pini ngumu sana hii.
Ok. Nimekutumia msg DMMoja tu na nilikuwa natumia sana asali mbichi
Yaaah mkuu..."For every action, there is equal and opposite reaction."
Hii ka huna D mbili huelewi...Inahusiana vipi
Weee unaonekana kama kijana wa hovyo..Sio wote tunajua fisikia mkuu unamaanisha nini
In every action there is equal an opposite reaction😅Hii ka huna D mbili huelewi...
State hiyo law alafu utajua kitu hapo
Pole utakua sawa kila kitu ni subra..ningeandika mengi ningesema mengi..itoshe kusema siku zoteee tumtegemee muumba maana yeye ndiye mweza wa yoteee..Wasalaaaam
Sijui niiwekaje hii,. Lakini naogopa tu nikiwaza haya maisha yanatakiwa yaende aje,, na kwanini inakua hivi🤔🤔
Au ni kwasababu nimeumwa sana nimeanza kupoteza matumaini?? Ata sijui nawaza nini🙌🙌,.
Yaani iko hivi, ni mwezi wa pili sasa unaelekea watatu siwezi kufanya chochote,,. kazi zangu na shughuli zangu ambazo nilikua nafanya mwenyewe ni watu ndio wananisaidia kufanya ( Hakuna hata kimoja kilichopo kwenye mstari,. Kila kitu kimevurugika, Hawafanyi kama ambavyo mwenyewe hua nafanya🥹🥹)..
Watu hata nyumbani naona wanalichukulia hili suala kawaida lakini mimi linaniogopesha sana,. Imagine nilikua nasikia vizuri tu lakini saizi sisikii,. Eti macho nayo yameanza kusumbua yaani navaa miwani hatakama sisomi kitu🤔🤔,. Kwamfano ndio ikawa hivi hivi mwisho wa siku si na miguu nayo itaanza kutokutembea na mikono kutokufanya kazi ( Na vipi kama ikiwa kweli???) Ina maana ndoto zangu zote ndio zitakua zimeishia hapa au??
Niambie au nishauri chochote ili niondokane na hii sijui ndio fear of unknown au nini??
Yaaah ndo hvo...In every action there is equal an opposite reaction😅