Nisipowaambia ukweli nitahukumiwa siku ya mwisho. Haya ni machukizo kwa Mungu

Nisipowaambia ukweli nitahukumiwa siku ya mwisho. Haya ni machukizo kwa Mungu

Huu nao ni usanii kama mwingine tu.
Mathayo 24:8
Hayo yote ndiyo mwanzo wa utungu.

Mathayo 24:8
Mateso Yatabiriwa

Mathayo 24:9
Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.

Mathayo 24:10
Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.

Mathayo 24:38
Kwa kuwa kama vile siku zile zilizokuwa kabla ya Gharika watu walivyokuwa wakila, na kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile aliyoingia Nuhu katika safina,

Mathayo 24:39
wasitambue, hata Gharika ikaja, ikawachukua wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
 
Yesu Kristo ambaye ndiye NENO la Mungu alituachia injili na Roho Mtakatifu kutuongoza safari ya Mbinguni.

Mambo yafuatayo ni machukizo mbele za Mungu
  1. Bikira Maria kws sababu hakuna maandiko yanayosapoti ibada ya kupitia Maria ili kumfikia Yesu au Mungu
  2. Ibada ya Sanamu. Yapo makanisa yamesimika sanamu kwenye makanisa hayo na watu wsnapiga goti kuomba rehema kupitia sanamu hizo wskiamini wapo salama
  3. Sanda, Yesu alituachia Imani na siyo historia hizi zilizopikwa na shetani na kulikabidhi kanisa lieneze uongo na kuwapoteza wengi
  4. Holly grail. Kikombe cha karamu ya mwisho. No such a thing
  5. Kubatiza watoto. Watoto wsnabarikiwa na wakubwa wanabatizwa baada ya kumkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi wake. Mtoto anazaliwa huru hadi atakapoamua kuongoka kumfuata Yesu ndo anafanyika kuwa mkristo na mwanafunzi wa Yesu.
  6. Ibada za ndoa. Jambo hili limewekwa na kanisa kudhibiti waumini. Ndoa Takatifu ni pale ambapo mtu mume akishamaliza taratibu za kumposa mwanamke na hapo wanakuwa tayari wanandoa. Kuwaita watumishi wa Mungu kuombea ndoa ni jambo jema lakini watumishi hao wa Mungu kujitwalia mamlaka ya kufunga na kuvunja ndoa ni kukufuru agizo la Mungu kwenye eneo hilo
  7. Ibada za mazishi. Imenenwa kuwa kufa ni mara moja na baada ya kifo ni Hukumu. Hata Yesu hakufanyiwa ibada ya maziko. Hakuna sala wala tendo lolote linaloweza kubadilisha hatima ya mtu baada ya kifo chake. Jambo pekee liwezekanalo ni kumfufua endapo itampendeza Mungu. Kufanyiwa ibada baada ya kufa ni makufuru mbele za Mungu.
  8. Mungu kuchanganywa na Kaisari. Yesu alisema hauwezi kutumikia mabwana wawili ambapo utampenda mmoja na mwingine utamchukia. Huwezi kumpenda Mungu kisha ukaipenda fedha. Fedha ni mamlaka ya kidunia na watumishi wote walioingia kwenye mamlaka za dunia huku wakiwa na kofia zao za utumishi wana nafasi yao motoni kwa sababu wamekaidi injili na kushiriki karamu za kinyama na uharibifu.
Marko 16: 15-16
Basi enendenj mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa

Mwenye kuongeza neno la uvuvio aongezee yanayotukumbusha utume na agizo la Yesu Bwana wetu
Kuna dini zingine ni Peponi kwa muumini akiwa duniani, na zingine ni jehanamu kwa muumini duniani,
 
Yesu Kristo ambaye ndiye NENO la Mungu alituachia injili na Roho Mtakatifu kutuongoza safari ya Mbinguni.

Mambo yafuatayo ni machukizo mbele za Mungu
  1. Bikira Maria kws sababu hakuna maandiko yanayosapoti ibada ya kupitia Maria ili kumfikia Yesu au Mungu
  2. Ibada ya Sanamu. Yapo makanisa yamesimika sanamu kwenye makanisa hayo na watu wsnapiga goti kuomba rehema kupitia sanamu hizo wskiamini wapo salama
  3. Sanda, Yesu alituachia Imani na siyo historia hizi zilizopikwa na shetani na kulikabidhi kanisa lieneze uongo na kuwapoteza wengi
  4. Holly grail. Kikombe cha karamu ya mwisho. No such a thing
  5. Kubatiza watoto. Watoto wsnabarikiwa na wakubwa wanabatizwa baada ya kumkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi wake. Mtoto anazaliwa huru hadi atakapoamua kuongoka kumfuata Yesu ndo anafanyika kuwa mkristo na mwanafunzi wa Yesu.
  6. Ibada za ndoa. Jambo hili limewekwa na kanisa kudhibiti waumini. Ndoa Takatifu ni pale ambapo mtu mume akishamaliza taratibu za kumposa mwanamke na hapo wanakuwa tayari wanandoa. Kuwaita watumishi wa Mungu kuombea ndoa ni jambo jema lakini watumishi hao wa Mungu kujitwalia mamlaka ya kufunga na kuvunja ndoa ni kukufuru agizo la Mungu kwenye eneo hilo
  7. Ibada za mazishi. Imenenwa kuwa kufa ni mara moja na baada ya kifo ni Hukumu. Hata Yesu hakufanyiwa ibada ya maziko. Hakuna sala wala tendo lolote linaloweza kubadilisha hatima ya mtu baada ya kifo chake. Jambo pekee liwezekanalo ni kumfufua endapo itampendeza Mungu. Kufanyiwa ibada baada ya kufa ni makufuru mbele za Mungu.
  8. Mungu kuchanganywa na Kaisari. Yesu alisema hauwezi kutumikia mabwana wawili ambapo utampenda mmoja na mwingine utamchukia. Huwezi kumpenda Mungu kisha ukaipenda fedha. Fedha ni mamlaka ya kidunia na watumishi wote walioingia kwenye mamlaka za dunia huku wakiwa na kofia zao za utumishi wana nafasi yao motoni kwa sababu wamekaidi injili na kushiriki karamu za kinyama na uharibifu.
Marko 16: 15-16
Basi enendenj mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa

Mwenye kuongeza neno la uvuvio aongezee yanayotukumbusha utume na agizo la Yesu Bwana wetu
10. Mapambo kwa wanawake ni machukizo mbele za Mungu
11. Kuvaa nguo zisizo na staha ni machukizo mbele za Mungu
12. Wananwake kua mchungaji kiongozi ni machukizo mbele za Mungu
 
Yesu Kristo ambaye ndiye NENO la Mungu alituachia injili na Roho Mtakatifu kutuongoza safari ya Mbinguni.

Mambo yafuatayo ni machukizo mbele za Mungu
  1. Bikira Maria kws sababu hakuna maandiko yanayosapoti ibada ya kupitia Maria ili kumfikia Yesu au Mungu
  2. Ibada ya Sanamu. Yapo makanisa yamesimika sanamu kwenye makanisa hayo na watu wsnapiga goti kuomba rehema kupitia sanamu hizo wskiamini wapo salama
  3. Sanda, Yesu alituachia Imani na siyo historia hizi zilizopikwa na shetani na kulikabidhi kanisa lieneze uongo na kuwapoteza wengi
  4. Holly grail. Kikombe cha karamu ya mwisho. No such a thing
  5. Kubatiza watoto. Watoto wsnabarikiwa na wakubwa wanabatizwa baada ya kumkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi wake. Mtoto anazaliwa huru hadi atakapoamua kuongoka kumfuata Yesu ndo anafanyika kuwa mkristo na mwanafunzi wa Yesu.
  6. Ibada za ndoa. Jambo hili limewekwa na kanisa kudhibiti waumini. Ndoa Takatifu ni pale ambapo mtu mume akishamaliza taratibu za kumposa mwanamke na hapo wanakuwa tayari wanandoa. Kuwaita watumishi wa Mungu kuombea ndoa ni jambo jema lakini watumishi hao wa Mungu kujitwalia mamlaka ya kufunga na kuvunja ndoa ni kukufuru agizo la Mungu kwenye eneo hilo
  7. Ibada za mazishi. Imenenwa kuwa kufa ni mara moja na baada ya kifo ni Hukumu. Hata Yesu hakufanyiwa ibada ya maziko. Hakuna sala wala tendo lolote linaloweza kubadilisha hatima ya mtu baada ya kifo chake. Jambo pekee liwezekanalo ni kumfufua endapo itampendeza Mungu. Kufanyiwa ibada baada ya kufa ni makufuru mbele za Mungu.
  8. Mungu kuchanganywa na Kaisari. Yesu alisema hauwezi kutumikia mabwana wawili ambapo utampenda mmoja na mwingine utamchukia. Huwezi kumpenda Mungu kisha ukaipenda fedha. Fedha ni mamlaka ya kidunia na watumishi wote walioingia kwenye mamlaka za dunia huku wakiwa na kofia zao za utumishi wana nafasi yao motoni kwa sababu wamekaidi injili na kushiriki karamu za kinyama na uharibifu.
Marko 16: 15-16
Basi enendenj mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa

Mwenye kuongeza neno la uvuvio aongezee yanayotukumbusha utume na agizo la Yesu Bwana wetu
Umesahau kitu kimoja, hiyo biblia pia wao ndio wameihifadhi na ndio wame-iframe
ambayo ndio msingi wa madhehebu yote ya kikristo.
 
Umesahau kitu kimoja, hiyo biblia pia wao ndio wameihifadhi na ndio wame-iframe
ambayo ndio msingi wa madhehebu yote ya kikristo.
Luka 19:40
Akajibu, akasema, Nawaambia ninyi, wakinyamaza hawa, mawe yatapiga kelele.

Roho Mtakatifu akuongoze kwenye hili pia
 
[emoji419]
20230210_105205.jpg
 
Mbona hujibu kwamba hiyo biblia hao ndio walikuwa nayo pia na wameiframe wao
Bibilia ni mkusanyiko wa Maandiko Matakatifu na ukiiondoa Injili ambayo waandishi wake wengi walifahamiana na kuishi karne moja lakini agano la kale ambalo ndo msingi wa agano jipya, waandishi wake hawakufahamiana na hawakuishi pamoja. Hebu fikiria nikikwambia Ayubu hakuwa Muisrael kama alivyokuwa Rahabu wa Yeriko na kadhalika.

Kuishika ama kuiunganisha Biblia kwenye mtiririko siyo hakimiliki ya kuhodhi njia ya kwenda uzimani. Kumbuma Eli Kuhani alisikiwa na Mungu ingawa alitenda uovu yeye na wanae.

Nimekupa huo mstari wa Neno la Yesu kuhusu mawe kunena kwa sababu mawe hayana uhai wala nafasi kwenye ufalme wa Mungu lakini anayweza kuyatumka kueneza habari za Ufalme wake kama vile Balaamu alivyowabariki wana wa Israel pale alipoitwa na Balaki ili awalaani
 
Mkuu Msanii amani iwe nawe. No. 2 Naomba nikupe andiko kabisa Kumbukumbu la Torati 4:15-19
Barikiwa sana mkuu.

Kumbukumbu la Torati 4:15
Jihadharini nafsi zenu basi; maana hamkuona umbo la namna yo yote siku ile BWANA aliyosema nanyi kutoka kati ya moto;

Kumbukumbu la Torati 4:16
msije mkajiharibu nafsi zenu, mkajifanyia sanamu ya kuchonga, mfano wa sura yo yote, mfano wa mwanamume au mwanamke,

Kumbukumbu la Torati 4:17
mfano wa mnyama ye yote aliye duniani, au mfano wa ndege ye yote arukaye mbinguni,

Kumbukumbu la Torati 4:18
au mfano wa kitu cho chote kitambaacho juu ya ardhi, au mfano wa samaki ye yote aliye majini chini ya nchi;

Kumbukumbu la Torati 4:19
tena usije ukainua macho yako hata mbinguni, na ulionapo jua, na mwezi, na nyota, jeshi la mbinguni lote pia, ukashawishwa na kuviabudu, na kuvitumikia, ambavyo BWANA, Mungu wako amewagawanyia watu wote chini ya mbingu zote.
 
mleta mada akasome biblia ya vitabu72siyo ya66 hapo ataona kuhusu maelezo yake ya namba7
Mkuu wangu
Siyasemi yaliyo yangu. Bali leo nimejiwa na hizi aya na sijui zimejipangaje kichwani kwangu.

Hivyo nitatekeleza agizo lako kwa sababu najitahidi sana kusoma maandiko mbalimbali kuupa elimu ufahamu wangu
 
Bibilia ni mkusanyiko wa Maandiko Matakatifu na ukiiondoa Injili ambayo waandishi wake wengi walifahamiana na kuishi karne moja lakini agano la kale ambalo ndo msingi wa agano jipya, waandishi wake hawakufahamiana na hawakuishi pamoja. Hebu fikiria nikikwambia Ayubu hakuwa Muisrael kama alivyokuwa Rahabu wa Yeriko na kadhalika.

Kuishika ama kuiunganisha Biblia kwenye mtiririko siyo hakimiliki ya kuhodhi njia ya kwenda uzimani. Kumbuma Eli Kuhani alisikiwa na Mungu ingawa alitenda uovu yeye na wanae.

Nimekupa huo mstari wa Neno la Yesu kuhusu mawe kunena kwa sababu mawe hayana uhai wala nafasi kwenye ufalme wa Mungu lakini anayweza kuyatumka kueneza habari za Ufalme wake kama vile Balaamu alivyowabariki wana wa Israel pale alipoitwa na Balaki ili awalaani
Unaruka ruka kama maharage, hivyo vitabu unavyo quote sio
wacatholic ndio walio vi-release wewe ukasoma!?
Kuna maandishi ya kale ya biblia ambayo wewe unayo au kanisa lako zaidi
ya wacatholic!?
 
Back
Top Bottom