Nitajie viongozi wawili tu shupavu kutoka Pwani nami nikutajie viongozi 10 shupavu na wenye uwezo mkubwa kutoka mikoa ya bala

Nitajie viongozi wawili tu shupavu kutoka Pwani nami nikutajie viongozi 10 shupavu na wenye uwezo mkubwa kutoka mikoa ya bala

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Mara ya kwanza kabisa kufika mikoa ya Pwani, kuna baadhi ya mambo yalinishangaza

Nalijifunza kwamba, Mungu alituumba kwa namna ya kutofautiana sana, kutoka watu hadi wanyama na hata ndege!

Watu wa Bara ni majitu makubwa makubwa na majasiri yasiyotishwa tishwa kirahisi eti yaogope kirahisi rahisi, ni majitu yanayoamini kula kwa jasho ndio mpango kamili wa Mungu na kiasili

Watu wa Pwani,

Kwanza, Jamii ya watu wa pwani, ni watu wadogo wadogo na wafupi, hii inaenda mpaka mifugo ya pwani, mfano, kuku aina ya jogoo wa Bara, mtu mmoja huwezi ukamla akakwisha, lakini kajogoo ka kuku wa pwani, utakala pamoja na robo ugali na bado hushibi, huyo ndiye Mungu na maajabu yake

Malezi ya watoto ya watu wa Bara, wanaamini kwamba, mtoto kuwa mjinga na asiye na maadili, ni matokeo ya wazazi wake! Na ndiyo maana wengi wa jamii ya Bara bado inayo maadili licha kwamba dunia imekumbwa na anguko kubwa la mmomonyoko wa maadili, mtu wa Bara mekuwa akibadirika na kuwa na tabia za ajabu pindi anapomezwa na tabia za watu wa Pwani!

Jamii ya watu wa pwani, wanaamini kuwa, mtoto kuwa mjinga na mwenye maadili ya hovyo, eti ni mtoto mwenyewe, na ndiyo maana jamii kubwa ya pwani haijishughurishi kabisa na malezi kwa watoto, watoto wa mzazi wa pwani, hata angerudi saa 4 usiku nyumbani, hawezi ulizwa alikuwa wapi na hata kuonywa licha kwamba ni under 18!

Jambo moja ambalo ni sifa kubwa ya watu wa Pwani, ni wajanja wajanja sana na wenye kuzizuia hasira zao, wanaishi maisha ya kiujanja ujanja na ambayo sio halali yao, maisha ya kiupigaji pigaji kwa kiswahili chao wànaita, mishentouwn!


Kwa namna hiyo, Mikoa ya pwani inakuwa kinara ya kuzalisha watoto ambao hata wakija
Kuwa viongozi, watakuwa viongozi legelege wasio na uchungu na maisha ya wengine kama ambavyo makuzi yao yalivyo!

Leo nimekuja na mada hii kuuliza, ikiwa mtu utanitajia viongozi walau wawili ambao historia inawabeba kwamba, wamekuwa viongozi mashuhuli na wenye ujasiri wenye kuchukua hatua pindi nchi au Taasisi inapopata hasara na ama tu kampuni!

Kama hautataja watu wa Bara huko warabu na hata wahindi?
 
Endeleeni kula ugali ndo maana mna udamavu unataka viongozi angalia waliopigani uhuru kwanza nyie enzi izo mnakaa porini hata nguo hamjui kuvaa,Mmekuja mijini hata mafuta hamyajui.

Ilikuwa mnajipaka utomvu wa mkonge leo ujifananishe na watu wa pwani kaa pembeni hili battle huliwezi.
 
Sijajua unalenga Nini? Ushupavu gani? Unamjua mzee Kikwete wewe? Unajua mchango wake kwa taifa hili Hadi hapa tulipo leo? Unajua amekunasua kutoka makucha ya umaskini, maradhi, ujinga na "kuonewa?"

Unamjua mzee Kighoma Malima? Umewahi sikia mchango wake kwenye elimu? Unajua makazi ya mzee Ruksa?

Unawajua watu Hawa?

Shehe Ramia, Tambaza, shehe Takadiri, Mshume kiate? Bibi Titi Mohamedi nk.


Wewe umekuja juzi mjini, au hujui historia au umemaliza kidato Cha nne juzi.
 
Mara ya kwanza kabisa kufika mikoa ya Pwani, kuna baadhi ya mambo yalinishangaza

Nalijifunza kwamba, Mungu alituumba kwa namna ya kutofautiana sana, kutoka watu hadi wanyama na hata ndege!

Watu wa Bala ni majitu makubwa makubwa na majasiri yasiyotishwa tishwa kirahisi eti yaogope kirahisi rahisi, ni majitu yanayoamini kula kwa jasho ndio mpango kamili wa Mungu na kiasili

Watu wa Pwani,

Kwanza, Jamii ya watu wa pwani, ni watu wadogo wadogo na wafupi, hii inaenda mpaka mifugo ya pwani, mfano, kuku aina ya jogoo wa Bala, mtu mmoja huwezi ukamla akakwisha, lakini kajogoo ka kuku wa pwani, utakala pamoja na robo ugali na bado hushibi, huyo ndiye Mungu na maajabu yake

Malezi ya watoto ya watu wa Bala, wanaamini kwamba, mtoto kuwa mjinga na asiye na maadili, ni matokeo ya wazazi wake! Na ndiyo maana wengi wa jamii ya Bala bado inayo maadili licha kwamba dunia imekumbwa na anguko kubwa la mmomonyoko wa maadili, mtu wa Bala amekuwa akibadirika na kuwa na tabia za ajabu pindi anapomezwa na tabia za watu wa Pwani!

Jamii ya watu wa pwani, wanaamini kuwa, mtoto kuwa mjinga na mwenye maadili ya hovyo, eti ni mtoto mwenyewe, na ndiyo maana jamii kubwa ya pwani haijishughurishi kabisa na malezi kwa watoto, watoto wa mzazi wa pwani, hata angerudi saa 4 usiku nyumbani, hawezi ulizwa alikuwa wapi na hata kuonywa licha kwamba ni under 18!

Jambo moja ambalo ni sifa kubwa ya watu wa Pwani, ni wajanja wajanja sana, wanaishi maisha ya kiujanja ujanja na ambayo sio halali yao, maisha ya kiupigaji pigaji kwa kiswahili chao wànaita, mishentouwn!


Kwa namna hiyo, Mikoa ya pwani inakuwa kinara ya kuzalisha watoto ambao hata wakija
Kuwa viongozi, watakuwa viongozi legelege wasio na uchungu na maisha ya wengine kama ambavyo makuzi yao yalivyo!

Leo nimekuja na mada hii kuuliza, ikiwa mtu utanitajia viongozi walau wawili ambao historia inawabeba kwamba, wamekuwa viongozi mashuhuli na wenye ujasiri wenye kuchukua hatua pindi nchi au Taasisi inapopata hasara na ama tu kampuni!

Kama hautataja watu wa Bala huko warabu na hata wahindi?
Kwanza awali ya yote mimi nataka kujua maana ya bala🤔
 
Sijajua unalenga Nini? Ushupavu gani? Unamjua mzee Kikwete wewe? Unajua mchango wake kwa taifa hili Hadi hapa tulipo leo? Unajua amekunasua kutoka makucha ya umaskini, maradhi, ujinga na "kuonewa?"

Unamjua mzee Kighoma Malima? Umewahi sikia mchango wake kwenye elimu? Unajua makazi ya mzee Ruksa?

Unawajua watu Hawa?

Shehe Ramia, Tambaza, shehe Takadiri, Mshume kiate? Bibi Titi Mohamedi nk.


Wewe umekuja juzi mjini, au hujui historia au umemaliza kidato Cha nne juzi.
Achana nao vilaza hata kweny uhuru hawapo walitakiqa wasiwepo kabisa hata wabunge wa bara hawajui chochote katika hii nchi.

Huyo Nyerere kakaribisha huku pwani wakina mwariko ndo wamamchongea kifimbo kile .Kafundiahwa ustaarabu huku watu wameishi nae huku mpaka kupanga mipango hao wabara wanakimbikaza na tumburi porini enzi hizo.
 
Kwanza awali ya yote mimi nataka kujua maana ya bala🤔
Bala ni shemeji yake Shetani movie la kihindi
images (3).jpeg
 
Mimi Mkinga wa Makete yaani ni wa bara kweli kweli ila wewe ni mshamba kutoka Sukuma Gang
 
Mara ya kwanza kabisa kufika mikoa ya Pwani, kuna baadhi ya mambo yalinishangaza

Nalijifunza kwamba, Mungu alituumba kwa namna ya kutofautiana sana, kutoka watu hadi wanyama na hata ndege!

Watu wa Bala ni majitu makubwa makubwa na majasiri yasiyotishwa tishwa kirahisi eti yaogope kirahisi rahisi, ni majitu yanayoamini kula kwa jasho ndio mpango kamili wa Mungu na kiasili

Watu wa Pwani,

Kwanza, Jamii ya watu wa pwani, ni watu wadogo wadogo na wafupi, hii inaenda mpaka mifugo ya pwani, mfano, kuku aina ya jogoo wa Bala, mtu mmoja huwezi ukamla akakwisha, lakini kajogoo ka kuku wa pwani, utakala pamoja na robo ugali na bado hushibi, huyo ndiye Mungu na maajabu yake

Malezi ya watoto ya watu wa Bala, wanaamini kwamba, mtoto kuwa mjinga na asiye na maadili, ni matokeo ya wazazi wake! Na ndiyo maana wengi wa jamii ya Bala bado inayo maadili licha kwamba dunia imekumbwa na anguko kubwa la mmomonyoko wa maadili, mtu wa Bala amekuwa akibadirika na kuwa na tabia za ajabu pindi anapomezwa na tabia za watu wa Pwani!

Jamii ya watu wa pwani, wanaamini kuwa, mtoto kuwa mjinga na mwenye maadili ya hovyo, eti ni mtoto mwenyewe, na ndiyo maana jamii kubwa ya pwani haijishughurishi kabisa na malezi kwa watoto, watoto wa mzazi wa pwani, hata angerudi saa 4 usiku nyumbani, hawezi ulizwa alikuwa wapi na hata kuonywa licha kwamba ni under 18!

Jambo moja ambalo ni sifa kubwa ya watu wa Pwani, ni wajanja wajanja sana, wanaishi maisha ya kiujanja ujanja na ambayo sio halali yao, maisha ya kiupigaji pigaji kwa kiswahili chao wànaita, mishentouwn!


Kwa namna hiyo, Mikoa ya pwani inakuwa kinara ya kuzalisha watoto ambao hata wakija
Kuwa viongozi, watakuwa viongozi legelege wasio na uchungu na maisha ya wengine kama ambavyo makuzi yao yalivyo!

Leo nimekuja na mada hii kuuliza, ikiwa mtu utanitajia viongozi walau wawili ambao historia inawabeba kwamba, wamekuwa viongozi mashuhuli na wenye ujasiri wenye kuchukua hatua pindi nchi au Taasisi inapopata hasara na ama tu kampuni!

Kama hautataja watu wa Bala huko warabu na hata wahindi?
Sio Bala ni Bara
 
ni Bara sio Bala ndo ubaya wa wanafunzi wa darasa la kwanza kuendelea darasa la pili bila mchujo
 
Back
Top Bottom