Nitajie viongozi wawili tu shupavu kutoka Pwani nami nikutajie viongozi 10 shupavu na wenye uwezo mkubwa kutoka mikoa ya bala

Mijitu ya bala hata kiswahili haijui
 
Jamii ya watu wa pwani, ni watu wadogo wadogo na wafupi, hii inaenda mpaka mifugo ya pwani, mfano, kuku aina ya jogoo wa Bara, mtu mmoja huwezi ukamla akakwisha, lakini kajogoo ka kuku wa pwani, utakala pamoja na robo ugali na bado hushibi
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Unautani na mkude weweee
 
Fisadi wa mafisadi duniani

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bara ipi unayoizungumzia?
Vibinti vinaachiwa kujilisha na kujitafutia vyenyewe? Chumba kimoja baba na mama wanalala na watoto alafua wanakulana huku watoto wanasikia? Wengi mmewaachia mitume na manabii malezi ambao nao wapo kimaslahi. Mwisho wanakimbia vijijini wanauza miwili yao mijini. Watoto wengi wameachiwa mabibi kuwalea.

Maadili? Rejea askofu wa KKKT aliyesema wengi mnaongoza kukosoa uaminifu. Ushupavu/ujasiri ipi? Kama hutumia akili ukafokafoka utakufa hata Kwa uzembe.
 
Ushamba sio ushupavu!

Akili Ina matumizi yake, sio mabavu Kila muda.

Kama unaweza kuishi Kwa akili ni Bora zaidi kuliko kuishi Kwa mabavu!

Unawajua "Knowledge workers"?
 
Ukimuondoa Nyerere huko bara hamjatoa kiongozi wa maana mwengine.
 
Kwanza ni vyema tukiitambua bara inaanzia wapi?

Maana kwa Wazanzibar ukanda wote wa Pwani na kisiwa Cha mafia wanawaita bara.

Wa ukanda wa Pwani yaani kutoka Mtwara- mikindani mpaka Tanga- pangani tunahesabu ukizidi Morogoro, basi wewe ni wa bara.

Kwa tafsiri yako bara inaanzia wapi?
 
Mwandishi utakuwa msukuma au mjita alafu hauna data umepuyanga swala na ufupi na urefu physicality inawezekana ikawa ya kisayansi wamasai sio wanene ni watu wa bara jamio zote za kaskazini haina miili mikubwa,
Kuanzia morogoro iringa, njombe na songea ndio watu wafupi zaidi Tanzania je hao ni watu wa pwani??
Jamii gani ya pwani unasema ni wafupi?
 
Jitu hata kuandika haliwezi cha ajabu linakuja kukandia watu wa pwani.

Kuna watu wa ajabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…