Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #21
Basi wanae hawana akili.... Ndo madhara ya watoto kupokea ushauri kutoka kwa Mange KimambiMtoto anamwambia baba yake saki-mai-diki. Nikisikitika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wanae hawana akili.... Ndo madhara ya watoto kupokea ushauri kutoka kwa Mange KimambiMtoto anamwambia baba yake saki-mai-diki. Nikisikitika sana
Itakuwa mke wake alikuwa anampeleka race sana, mi naamini jamaa hakuwa na shidaKulikuwa na pension yake Marekani alikuwa anangoja kulipwa na akawa anatamba sana akilipwa atafanya makubwa sijui alishalipwa? Ni hela ndefu sana karibia 1 million usd.
Ila jamaa alihaso Marekani. Alikuwa halali usiku na mchana kazi. Dereva mzuri sana wa magari taka. Kila kona na vichochoro vya newyork vilikuwa kichwani.
Na mimi nakubaliThat guy was a real hustling nigger👏
Basi watakuwa ni wajinga, bora wangekuja kung'ang'ana na hichi kidogo cha baba yao.. hiyo ya babu yao naona itakuwa utata kuipata, halafu kwa sababu ni watoto wa kile sidhani kama mirathi ya babu wataambuliaWale wanasubiria mirathi ya Babu yao ambayo hawataipata sababu daraja lao limekatika(le mutuz). Na ile familia ina mgogoro mkali watoto wa mke wa kwanza vs mke wa pili vs watoto wa nje ya ndoa
Mama Yao mmarekani?Hivi unadhani kizazi cha sasa, tena kimekulia Marekani maisha yote, mama yao mmarekani, watakuwa na muda kumuwaza baba yao? Mimi sidhani...
Ndo madhara ya watoto kupokea ushauri kwa Mange Kimambi. Mtu mwenye akili huwez mchukia mzazi wakoSitashanga wasipoona hilo maana tayari akili hawana, kwa afya yake ilipokuea imefikia Lemutuz alikua afe lakini hao watoto wamemuongezea speed
Baraka ni maneno, Mali na Pesa ni matokeo ya baraka
Baraka zinafuata mkondo toka kwa Mungu, zinashuka kwa baba kisha kwa watoto
Nawahurumia sana watoto wa lemutuz kwa waliyomwambia baba yao baada ya baba kuwaomba msamaha. Kuna siku watatamani arudi waongee
KUTOKA 20:12
“WAHESHIMU BABA yako na MAMA yako, ili uishi MAISHA MAREFU katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.
Tatizo mlichonga sana... ila ntalirudisha soon...Bora umebadilisha lile jina
@Naantombe Mushi
Ila zitakuwa natural deaths tu bana... unadhani itakuwa ni fauloNa wasiwasi huyu mke anawamaliza watoto halali ili wanawe wa nje warithi mali
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unaona sasa, wallah sikujua. Siku zote najua ji mmarekani!Mama Yao mmarekani?
Neema huyu huyu[emoji848][emoji38]
Ndo mana nikasema social media, biashara kubwa inafanyika kwenye simu. Usidharau hustle mkuuKabla ujafanya maamuzi na akili yako, uliza ushauri, utaingia hasara sana na huo uelewa wako.
Zile speaker na ukuta wa pink kwa office ye Le mbembez hauzidi 20m, hawezi kuwa na hiyo income.
Siamini kama ana hela huyo jamaa, atakuwa fukara tu wa kawaida kabisa huku duniani.
Usidharau hustle... halafu wewe umeniambia sina akili nikakuambia usibitishe naona umeuchuna...Mirathi ya toyota noah ya mwaka 96 na apartment za NHC ambazo alikuwa analipia kodi kila mwisho wa mwezi? You have got to be serious.
Itakuwa huyo mama amewaharibu watoto ukijumlisha na ushauri wa Mange Kimambi basi uharibifu ni mkubwa sanaMama Yao mmarekani?
Neema huyu huyu[emoji848][emoji38]
Mkuu ungeaacha tu bila kubadilisha jina lako la kwanza kwenye ID Naantombe🤣😆👆🏿Itakuwa mke wake alikuwa anampeleka race sana, mi naamini jamaa hakuwa na shida
kumbe imekuwa hobby ya kufuatilia kila comment yangu?Usidharau hustle... halafu wewe umeniambia sina akili nikakuambia usibitishe naona umeuchuna...
Acha kuongea kama Kasuku.... Hizo Toyota Noah wewe unazo ngapi?
Nje ya boxNa wasiwasi huyu mke anawamaliza watoto halali ili wanawe wa nje warithi mali
Malecela hakuwa na utajiri wa kugombaniwa hata na watoto tu wa uswahilini hapa Tz. Alikuwa wa kawaida tu na mishe mishe za town.Usidharau hustle... halafu wewe umeniambia sina akili nikakuambia usibitishe naona umeuchuna...
Acha kuongea kama Kasuku.... Hizo Toyota Noah wewe unazo ngapi?
Ndo mana nikasema social media, biashara kubwa inafanyika kwenye simu. Usidharau hustle mkuu
Jamaa alikuwa mpambanaji. Fikiria mtoto wa waziri mkuu mstaafu then awe dereva wa taka, tena sio taka tu ni harzadaus waste ambazo zinahitaji special care.Kulikuwa na pension yake Marekani alikuwa anangoja kulipwa na akawa anatamba sana akilipwa atafanya makubwa sijui alishalipwa? Ni hela ndefu sana karibia 1 million usd.
Ila jamaa alihaso Marekani. Alikuwa halali usiku na mchana kazi. Dereva mzuri sana wa magari taka. Kila kona na vichochoro vya newyork vilikuwa kichwani.
Mzee Malecela alitumia vyema nguvu zake za kiume. Alitembeza mkwaju hasa.