Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku Dar hiyo kazi hailipi kabisaDereva mzuri sana wa magari taka.
Fafanua kidogo japo tuelewe..... ..eleweshe japo kidogoVijana ishini maisha mazuri, maisha ni marefu ila ni mafupi ukiyachezea...
Le tumboz alikuwa na nyumba nje wa mji huko na aliwahi kuipost humu, afterall Mkuu, mirathi ni mirathi tu hata yale mashati makubwa kama tundubai za kufunikq gari wakati wa jua si ni mali ya mzazi wao ?Mirathi ya toyota noah ya mwaka 96 na apartment za NHC ambazo alikuwa analipia kodi kila mwisho wa mwezi? You have got to be serious.
Tatizo wabongo wengi mkipewa picha tu story mnajazia wenyewe![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] unaona sasa, wallah sikujua. Siku zote najua ji mmarekani!
Matusi yalizidi nikaona isiwe tabu... hahahahaaaaMkuu ungeaacha tu bila kubadilisha jina lako la kwanza kwenye ID Naantombe🤣😆👆🏿
Sio kwamba nakufuatilia... ila nimejibu mapigo kwasababu ulikuja na gia ya kuni attack personality yangu.kumbe imekuwa hobby ya kufuatilia kila comment yangu?
Haya nimekujibu, hifadhi na hii pia.
Nakubali kaka, ni kweli 25k kwa America sio hela mingi... ila ndo mana nimeiweka kama free cash flow maana yake hapo anakuwa amesha cover expenses zote.Tatizo wabongo wengi mkipewa picha tu story mnajazia wenyewe!
Yani mtu (OP) kaziandika $25,000 kama hela nyiingi hivi, wakati Marekani kuna sehemu watu wanapata $100,000 kwa mwaka wanahesabiwa ni masikini, wana qualify kusaidiwa na serikali kulipiwa vitu fulani.
Kima cha chini kabisa cha mshahara New York City kisheria ni $15 kwa saa, ambayo ukipiga mahesabu ya 40 hour weeks ni kama $30,000 kwa mwaka. Maana yake hata mtu ambaye bado ni mwanafunzi wa sekondari akishafikisha miaka 14 tu, anaweza kufanya kazi ya hela mbuzi tu ya kupanga vitu supermaket nje ya muda wa shule na kutengeneza hiyo $30,000 kwa mwaka, akitaka anaweza kufanya kazi hizo mbili akapata $60,000.
Waacheni hawa watu wapumzike na migogoro ya kujadiliwa social media now that aliyewa expose kashafariki.
Dharau kwa mshua haitakiwi kabisa aisee.... Unajua hata sisi tumeishi maisha ambayo unakuta mama anamsema mshua kwa watoto lakini mwisho wa siku mimi huwaga nawaacha na mambo yao, heshima kwa mshua ni muhimu.Huyo Dogo wa Kiume aliyemwambia "SAKI MA WHAT" inatakiwa asipate hata sandozi.
Sawa ili yaishe maana hata sijui unaoongelea nini.Sio kwamba nakufuatilia... ila nimejibu mapigo kwasababu ulikuja na gia ya kuni attack personality yangu.
Labda nikufundishe kitu kidogo kitakusaidia sana maisha yako na character yako.
SIKU ZOTE USIPENDE SANA KU ATTACK PERSONALITY YA MTU. NA SIO TU USIPENDE KUA ATTACK, ACHA KABISA HICHO KITU NI HATARI SANA.
Kama unaona mada inakukera, jibu kwa hoja na sio kumu attack mtoa hoja.
Usidhani kwamba ku attack personality ya mtu kunakufanya uwe bora.
Duu madini sanaaa......Huwa najifunza sana kwenye comment zako.....😊😊😀😀Tatizo wabongo wengi mkipewa picha tu story mnajazia wenyewe!
Yani mtu (OP) kaziandika $25,000 kama hela nyiingi hivi, wakati Marekani kuna sehemu watu wanapata $100,000 kwa mwaka wanahesabiwa ni masikini, wana qualify kusaidiwa na serikali kulipiwa vitu fulani.
Kima cha chini kabisa cha mshahara New York City kisheria ni $15 kwa saa, ambayo ukipiga mahesabu ya 40 hour weeks ni kama $30,000 kwa mwaka. Maana yake hata mtu ambaye bado ni mwanafunzi wa sekondari akishafikisha miaka 14 tu, anaweza kufanya kazi ya hela mbuzi tu ya kupanga vitu supermaket nje ya muda wa shule na kutengeneza hiyo $30,000 kwa mwaka, akitaka anaweza kufanya kazi hizo mbili akapata $60,000.
Waacheni hawa watu wapumzike na migogoro ya kujadiliwa social media now that aliyewa expose kashafariki.
Yule mwamba ni really hustler aisee.. Namkubali sana, tangu akianza harakati zake za ubaharia.. jamaa ka haso sana, atalivyo kuwa anavifanya mitandaoni it was fine, maana he deserveKulikuwa na pension yake Marekani alikuwa anangoja kulipwa na akawa anatamba sana akilipwa atafanya makubwa sijui alishalipwa? Ni hela ndefu sana karibia 1 million usd.
Ila jamaa alihaso Marekani. Alikuwa halali usiku na mchana kazi. Dereva mzuri sana wa magari taka. Kila kona na vichochoro vya newyork vilikuwa kichwani.
Kwahyo spika na rangi za ukuta ndio Ina determine uchumi wa mtuKabla ujafanya maamuzi na akili yako, uliza ushauri, utaingia hasara sana na huo uelewa wako.
Zile speaker na ukuta wa pink kwa office ye Le mbembez hauzidi 20m, hawezi kuwa na hiyo income.
Siamini kama ana hela huyo jamaa, atakuwa fukara tu wa kawaida kabisa huku duniani.
Mama D unaweza ukasema kabisa kile alichokiandika Le mutuz kilikuwa ni kuomba msamaha? Inawezekana alikuwa na nia ya kuomba msamaha ila kwa Ile approach alikoseam. His ego was too big to admit that he messed up; hata kama mama watoto ndiyo kisababishi cha yote hayo.Sitashanga wasipoona hilo maana tayari akili hawana, kwa afya yake ilipokuea imefikia Lemutuz alikua afe lakini hao watoto wamemuongezea speed
Baraka ni maneno, Mali na Pesa ni matokeo ya baraka
Baraka zinafuata mkondo toka kwa Mungu, zinashuka kwa baba kisha kwa watoto
Nawahurumia sana watoto wa lemutuz kwa waliyomwambia baba yao baada ya baba kuwaomba msamaha. Kuna siku watatamani arudi waongee
KUTOKA 20:12
“WAHESHIMU BABA yako na MAMA yako, ili uishi MAISHA MAREFU katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.
KabisaaaaYule binti mnamuonea bure tu inavyoonesha alikuwa teyari kuyamaliza na mshua wake Le Mutuz ndiye aliyezingua lkn yule dogo wa kiume ni fala wa kiwango cha juu sana huwezi kumjibu dingi yako vile.
Bora umeulizaKwahyo spika na rangi za ukuta ndio Ina determine uchumi wa mtu
Sasa nimekujibu mtoto wa miaka 14 New York City ana uwezo wa kufanya kazi ya kupata $30,000, aki graduate chuo atatengeneza ngapi?Nakubali kaka, ni kweli 25k kwa America sio hela mingi... ila ndo mana nimeiweka kama free cash flow maana yake hapo anakuwa amesha cover expenses zote.
Halafu kwa US mtu akipata hiyo 30k ataweza save kiasi gani? Hilo nalo ni suala la kujiuliza. Ama ndo inakuwa kama subsistence wages... ukipata yote inaishia kwenye matumizi
Mimi nime refer zaidi watoto wa Lemutuz, je huko state wana maisha ya kuwafanya wao kutengeneza hiyo net ya 25k? Kama wanayo its fine... ila kama wapo huko state wanapiga ukwara, mi nadhani angekuja mmoja kusimamia bidhara ya mshua... huwezi jua
Hata kama baba ana makosa, mwisho wa siku bana, mzazi ni mzazi.Mama D unaweza ukasema kabisa kile alichokiandika Le mutuz kilikuwa ni kuomba msamaha? Inawezekana alikuwa na nia ya kuomba msamaha ila kwa Ile approach alikoseam. His ego was too big to admit that he messed up; hata kama mama watoto ndiyo kisababishi cha yote hayo.
Kwa yule mtoto wa kiume; kumtukana baba yake ilikuwa ni kukosa adabu kulikopitiliza; ataipata tu fimbo yake. Ila kwa yule binti yake; ni kama tu amemuongezea trauma nyingine zaidi. Binti analalamika na kumuuliza maswali baba yake; of coz he owed them some explanations kwa nini aliondoka tu kabla; na sio kutaka tu kutoka na kuingia kwenye maisha yao kadri anavyojisikia. Badala ya kuelezea hata kiufupi, anamjibu mtoto kwamba amemtafuta tu kwa sababu rafiki zake binti walikuwa wanamsumbua sana awatafute; so he was done. Was he even remorseful? Was he repenting for his absence and whatever his kids had to face because of him? Kwa hiyo after Ile meseji aliyowatumia ingekuwa ndiyo imeshaisha kila mtu ashike maisha yake? Alikuwa na mpango wa kuwepo kwenye maisha ya watoto wake kweli? Yule binti alijisikiaje? Kwa nini asingemsaidia binti yake kutoa ule uchungu wote aliokuwa ameujaza juu ya baba yake? Alitaka binti yake ajue kwamba he never wanted them, they were just a mistake or what?
Sawa watoto huwa wanalishwa sana sumu especially wakiwa wadogo; lakini mtoto anapokuwa na kujitambua; anakuwa na uwezo wa kuona mambo bila ya kushurutishwa na kuamua kufanya maamuzi yake binafsi. Ni watoto wangapi waliamua kuwasamehe wazazi wao either kwa kujua ukweli au kwa kuamua tu kusamehe kwa ajili ya amani zao za moyo?. Huu ulikuwa ni wakati wa yeye naye kufunguka upande wake; whether watoto wangeamini or not; but at least angekuwa ametimiza part yake ya kuwaambia ukweli then wangeamua kusuka au kunyoa.
I feel sorry kwa watoto wake kwa sababu ipo siku wataujua ukweli au watatamani tu baba yao angekuwepo wamsamehekwa kujua ukweli au kwa ajili ya amani zao za moyo; but hawatomuona. Huyo wa kiume na kwa yale matusi ndiyo atajuta hadi basi. Na kuhusu ex mkewe; may God judge her.