Nitawashangaa watoto wa Lemutuz wakigandana huko Marekani na kutelekeza mirathi ya baba yao

Yule binti mnamuonea bure tu inavyoonesha alikuwa teyari kuyamaliza na mshua wake Le Mutuz ndiye aliyezingua lkn yule dogo wa kiume ni fala wa kiwango cha juu sana huwezi kumjibu dingi yako vile.

Ktk malezi ya single mamaz wakiume ndio huwa wanahama njia na kuwa viazi,ila watoto wa kike akili huwa kwa baba zao.
 

Natamani waupate huu ujumbe.
 
Mwanaume utaombaje msamaha kwa mtoto asiyeelewa umetoka wapi na mama yao?

What if Mwanamke alikwambia huyu mtoto si wako halafu miaka mingi baadae akaja akakwambia ni wako nilikuwambia vile sababu ya hasira tu?

Unataka hayo nayo umwambie mtoto?
 
Msiwapime hivo wale hawaingii mtaani kama wabongo waliozamia.wakimalizq chuo wataajiriwa mshahara wa chini dola 7000 x12=84k usd na insurance ya afya juu
 
Jamaa alikuwa mpambanaji. Fikiria mtoto wa waziri mkuu mstaafu then awe dereva wa taka, tena sio taka tu ni harzadaus waste ambazo zinahitaji special care.
Kumbuka kuwa ni dereva w taka New York City na sio bongo.

Kuna mtoto baba yake ni Rais Africa na yy anaishi Marekani.

Mbele ni mbele tu mkuu
 
Hata kama hawana aibu, hawataweza kupanda Ndege Kuja bongo na kusema wamefuata sijui urithi au kitu chochote cha baba yao kwa jinsi walivyomalizana nae vibaya. Majuto ni mjukuu.
 
Unaambiwa watoto hawana akili kama Mama yao, wako bize kutukana watu tu mitaani na kuwalazimisha wa suck their dicks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…