Namichiga
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 356
- 526
- Thread starter
- #221
Oscar alikua ni mdau tu wakaribu wa band ya Jagwa na wasanii wake kwa ujumla (Masela Mchiriku),hivyo kifo chake kiliwahudhunisha sababu alikua ni mwana.Mkuu hebu naomba niambie Oscar Mkoba alikuwa nani? Nona Jagwa walimtungia wimbo kabisa nadhani uko katika Albamu ya Liwalo na Liwe.