Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Kweli bible. Nyimbo zao zimetulia sana. Na aina ya uimbaji wao unafikisha ujumbe.Eti kweli Robert Heriel Mtibeli ?
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini ).
Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa namna ambavyo ni mafundi haswa wa kuimba nyimbo za dini mpaka mtu ana burudika haswa.
Mimi ni mpenzi sana wa muziki, napenda miziki ya aina mbalimbali ikiwemo bolingo, hip hop, bongo fleva, Afro beats, Mziki wa south, Gospel n.k
Katika gospel napenda sana ngoma za RC na SDA kwa sababu moja tu ni kwamba hawa ni wanaimba kwaya tofauti na wengine na kwaya ina mtiririko wa sauti kuanzia 1 mpaka 4.
Sasa hawa wasabato wanajua namna ya kutiririka katika sauti hizo nne kuanzia ya kwanza mpaka ya nne zote unazipata clear kabisa na kwa kuvutia.
Hawa jamaa huwa wana nifurahisha sana na kwaya zao wanajua haswa.
Wasabato wote mliomo humu chukueni maua[emoji253] yenu kwa niaba ya wenzenu toka kwangu aisee kwaya zenu zinajua haswa maana halisi ya nyimbo za gospel zinapaswa vipi kuwa.
View attachment 2743399
Tahadhari: Huu uzi sio wa mapambano ya kidini.
Pamoja sana karibuNakujazia seva kesho
Hizo ni hulka binafsi za watuNi kweli wanaimba sana tena vizuri
Japo ni wadhinifu sana sijui kwanini
Wengi wao ni wabishi wajuaji hasa siku ya sa7to
Sawa, RC wapo vizuri pia ndio maana nimewagusia kidogo kwenye uziSawa wasabato wanaimba vyema, ila ukizungumzia ufundi RC wanatia fora!!!
...unaifahamu organ vizuri kweli inavyokung'utwa na mafundi wa RC!?
Halafu ujue nyimbo wanazoimba RC ukimpa anayefundisha wasabato afundishe kitakachosikika mwishoni ni discord tu!
Unakita sana huo wimbo ukiwa na bufa inakuwa noma sana[emoji445]Kishindo cha wakoma kila wakimbiza washamiiiiiiiiiiii.....
Kishindo cha wakomaaaaaa, kila wakimbiza washamiiiiiiiiiiii [emoji445]
One of my favorite song kutoka kwa hawa wasabato.
Kweli kabisaSda balaa kwa ala za kukonga mioyo
Kwaya gani ?Maisha ni safari.
Bwana naomba nifungilie fahamu zangu😁View attachment 2743527 Rock of Ages Ministers - Maisha ya Dunia
Nyarugusu SDA choir "samehe"Hii Post imenibariki. We share a mutual feeling. SDA’s pokeeni Maua yenu
Asante sanaKijichi SDA Youth Choir
Kinondoni SDA Choir
Tegeta
Injili Family International
Baraton University Chorale
Yaani hua sichagui nyimbo ilimrad niaikie tu melody yake imekaa vizuri. Ninanyimbo za kijapan hapa hata sijui zina maana gani ila nasikilizaAah kama unazo hadi za Tony basi kweli unazipenda.