Niwape maua yenu Wasabato, mnajua kuimba nyimbo za dini


Hii Post imenibariki. We share a mutual feeling. SDA’s pokeeni Maua yenu
 
Wasabato wana program nzuri sana za uimbaji..

Pia hata mambo mengine ya kimaisha.. kanisani kwao ni kama shuleni...

Kila kitu kinafundishwa kwa upana.

Mimi ni KKKT ila napenda sana taratibu za kisabato. Maana nimekulia jirani na kanisa lao.. naona kila kinachoendelea.. na siku moja moja nimehudhuria ibada zao nikawajua zaidi
 
Nachojiuliza why waimbaji wa kisabato wanakimbizwa sana sokoni na kina Rose mhando, Bahati Bukuku, Martha mwaipaja, Edson Mwasabite, Flora Mbasha, Cristina shusho etc

Hata hawa kina zablon singers wanaosemwa ni wasabato ni kama wanabahatisha bahatisha..
Ukiwawekea mziki wa kina Rose mhando wanapigwa knock out
 
Sawa, RC wapo vizuri pia ndio maana nimewagusia kidogo kwenye uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…