Umesahau Simba na Yanga.Ila sasa kiwanda cha burudani bongo ndo kinalipa. Hao ndo fursa yenyewe. Si unaona Mange kaamka anauza umbea.Mambo ambayo wabongo hawako nyuma
Kufatilia Sinema zetu
Ndondo cup
Mange kimambi
Hamornize na kajala
Kufatilia connection za video /picha za utupu za watu.
Ni ajabu kabisa, kizazi cha kesho kinafikirisha sana.
Mchongo upi?Kwenda kuteseka Ulaya.Bora mtu utesekee bongo. Ulaya ukiwa regal ndo raha. Yaani ukiwa na makaratasi ni safi utafanya kazi na unaishi vizuri na.nyumbani bongo utawasaidia,shida ni kwenye kupata makaratasi siku hizi ni ngumu sana.Tatizo ndugu zetu wabongo wamesinzia sana. Ukileta taarifa za michongo kama hizi basi jua wengi watakudhihaki na kukuponda, ila ukileta zile zinazohusu Diamond, Zuchu, Kiba nk basi ujue utapongezwa na kusifiwa kwa kile ulichoandika.
Ndio maana ndugu zetu Wakenya na Waganda hutuacha nyuma kila siku linapokuja swala la michongo na fursa za kwenda kuishi ulaya.
Bila ya kusahau kusikiliza stori ya mandonga mtu kaziMambo ambayo wabongo hawako nyuma
Kufatilia Sinema zetu
Ndondo cup
Mange kimambi
Hamornize na kajala
Kufatilia connection za video /picha za utupu za watu.
Ni ajabu kabisa, kizazi cha kesho kinafikirisha sana.
kwahali hii ya iyo picha waafrica tunatia aibu sana katika mataifa ya wenzetu yalioendeleaKwa hali hii hiyo hela ya nauli fanya mtaji baki Dar utatoka tu.
Sasa kati ya hao na waliopo kwenye makambi Ngara unadhani nani mwenye maisha bora?kwahali hii ya iyo picha waafrica tunatia aibu sana katika mataifa ya wenzetu yalioendelea
England mbona super tu? UK ilikataa itifaki ya Sheghen viza na kubaki na UK viza na sterling pound yao walikuwa wanajihami nchi yao dhidi ya wahamiaji holela.Not simple as u think. Nenda Paris wakimbizi wanalala chini ya madaraja kwenye matent. Sasa hivi Ulaya inaharibika na kuna movements za ant migrants. Kule Italia juzi chama cha mlengo wa extrême kulia kimeshinda uchaguzi,,Sweden pia. Yaani Ulaya hapafai. Bora mtu Uende Canada. Mtu cheza Green Card nenda Canada au baki Bongo. Ni bora mtu ubaki Dar kuliko kwenda nchi yeyote ile ya Ulaya.
Wewe umeshakata VISA?Soma post namb #2 na #4 umuone mtu wa kwanza kuwavuta wabongo wenzake mashati ili wasiende kutafuta maisha mbele.
Fursa zipi hizo zitaje online marketing au ebu zitaje maana mnasema fursa zipi zipo tukifungua vibanda vya chips hamji kula tukiamzisha biashara ya m pesa nk mnakuja tukopa mnazima na sm, tukienda shambani kulima mnapandisha bei za pembe jeo, mala tozoFursa zipo hapa hapa Bongo
Mkuu kuna mtu toka 2010 hadi leo yuko bongo anapambana na hafanikiwi, na kuna mtu kaingia ulaya mwaka 2017 leo hii ana mafanikio mazuri tu na hana stress tena ya maisha.Itakuchukua muda gani kufanikiwa huko unakoenda kwa mara ya kwanza kuliko huku ambapo upo tangu kuzaliwa
Nadhani ungejaribu kuhama kwanza mkoa
Kungekuwa kuna fursa tusingeshuhudia wingi wa panya road mjini na pia isingekuwa rahisi 80% ya vijana kuwa machinga.Hahaa mi huwa nacheka Sana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38],watu wanaosema kuna fursa ,bongo hi hiii au ya mars na Neptune
Sipingani na ulichoandika kuhusu Paris, lkn ulaya huko huko bado kuna zina fursa nzuri. Sio lazima watu wote mkajazane Paris, London nk.Not simple as u think. Nenda Paris wakimbizi wanalala chini ya madaraja kwenye matent. Sasa hivi Ulaya inaharibika na kuna movements za ant migrants. Kule Italia juzi chama cha mlengo wa extrême kulia kimeshinda uchaguzi,,Sweden pia. Yaani Ulaya hapafai. Bora mtu Uende Canada. Mtu cheza Green Card nenda Canada au baki Bongo. Ni bora mtu ubaki Dar kuliko kwenda nchi yeyote ile ya Ulaya.
Kwahiyo mimi nikiwa na viza ndo itakushawishi na wewe kuitafuta?Wewe umeshakata VISA?
Yah nikweli mkuu wazungu wenyewe wanakimbilia Africa kutafuta maishaKwanini ukahangaike ugenini kama umeshindwa kupambana uwanja wa nyumbani???
Ni kweli wazungu wenyewe wanakuja bongo kuomba ajira ukienda hoteli za kitalii wazungu wengi wamesajiliwa msharaa wanalipwa dollars 2000 na makwao hawataki kurudi na wanakula kwa mama lishe chapati na maharagwe.Not simple as u think. Nenda Paris wakimbizi wanalala chini ya madaraja kwenye matent. Sasa hivi Ulaya inaharibika na kuna movements za ant migrants. Kule Italia juzi chama cha mlengo wa extrême kulia kimeshinda uchaguzi,,Sweden pia. Yaani Ulaya hapafai. Bora mtu Uende Canada. Mtu cheza Green Card nenda Canada au baki Bongo. Ni bora mtu ubaki Dar kuliko kwenda nchi yeyote ile ya Ulaya.
Si bora tubaki nchini tufungue genge au banda la chips usiku tunaenda kulala nyumbani na wife, tunajibana tunanunua kiwanja tunajenga nyumba tunakuwa na kwetu kuliko kwenda kulala barabarani ugenini.Kwa hali hii hiyo hela ya nauli fanya mtaji baki Dar utatoka tu.
Kwanini Serikali zao zinatusaidia pesa nyingi wakati wananchi wao hawana sehem pakulala hawajui watalala wapi?Kwa hali hii hiyo hela ya nauli fanya mtaji baki Dar utatoka tu.
Wanadanganyana hawajui hizo mbinu waarabu washaharibu kila kitu ulaya imekua km kariakoo.Mimi nilishaishi Paris. Nilikuwa mwanafunzi pale.Kuna saa nilikuwa napenda kwenda kuwasikiliza wakimbizi .Unakuta mtu anatoka Guinea Conakry. Anakuambia alifanya kazi akapata euro elfu 10 za kuwalipa ma mafia kumsaidia kuvuka jangwa Niger huko mpaka Lybia kupanda boti mpaka Visiwa vya Italia huko then kutembea kwa mguu mpaka Nice France then kudandia train mpaka Paris then kujikuta katika hali mbaya. Mpaka nilikuwa ninawaambia hiyo pesa euro elfu 10 ungewekeza ukaendelea kutafuta ungekuwa tajiri hapo hapo Conakry. Tatizo wakisikia Pariiii wanajua ni Paradise kumbe ni Shidaaaa.
Sio wananchi wao hao. Hao ni wakimbizi/,Wahamiaji bado hawajapata permit za kuishi.Kwanini Serikali zao zinatusaidia pesa nyingi wakati wananchi wao hawana sehem pakulala hawajui watalala wapi?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Upo ulaya au TZ?Na kwa taarifa yako wakimbizi wanakimbilia walau nchi zilizo rafiki kidogo kwa wakimbizi LUXEMBOURG unapasikia au unapajua ?,Kinchi kidogo maisha ghali. Halafu si rafiki kwa wakimbizi ulaya kama hauna legal permit huwezi fanya kazi. Acha kudanganya watu. Watu mpaka wanarun mental maana walitoka nchini mwao wakijua wanafika Ulaya kila kitu poa. Sasa wanakuta ndivyo sivyo.Sipingani na ulichoandika kuhusu Paris, lkn ulaya huko huko bado kuna zina fursa nzuri. Sio lazima watu wote mkajazane Paris, London nk.
Kuna baadhi ya nchi ambazo hazina refugees na migrant wengi pia zina fursa nyingi ila watu hawaziweki kwenye ramani zao za kwenda kuishi huko. Mfano wa nchi hizo ni Luxembourg, Iceland, Finland nk. Huko refugees na migrants ni wachache afu fursa za kazi ni nyingi, so mwenye akili lazima aende huko.