Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

Sijui tunakwama wapi aisee,jamaa atakua na darasa tarehe 1 okt ubungo plaza nadhani kufundisha namna ya kuomba green card,muitiko ni sifuri bado,naona wakenya wamemuita kabisa aende kenya kuwafundisha,jana jamaa nimeona amepost youtube yupo kenya aisee!
Wabongo bado tuko busy na maisha ya watu. Unakuta dume zima linatumia nusu siku nzima kusoma na kufuatilia habari za wanaume wenzie kama vile kina Mwijaku, baba levo nk.

Wakimaliza hapo wanaingia kwenye habari za simba na yanga au masumbwi, wakibadili kidogo basi wataongelea habari za kina zito kabwe, Lisu, CCM, CUF nk. Yani wabongo elimu hatuna, maarifa ya kutafuta maisha kama wenzetu wakenya na waganda hatuna, i mean sisi tupo tupo tu ilimradi tunalala na kuamka basi. Mengine eti tunamuachia Mungu 😂😂😂
 
Wabongo sisi tumefungwa afu alietufunga kaitupa funguo chooni.
Sio tu tumefungwa, bali na vichwa vyetu vimejazwa matope, ndio maana tunashindwa kufikiria nje ya box.

Wewe fuatilia comments za vijana wengi hapa katika thread ndo utaamini kuwa 95% ya vijana wa kibongo wana mawazo ya hovyo kabisa.
 
Hivi unaweza kuishi inchi yeyote kwa miaka 30 bila kupewa kibali Cha kuishi?
Means hutakiwi kuona family yako kwa miaka 30?
Sasa hyo ni inchi au jehanam?

Mimi naongea through my experience.

Watu wengi kwa Sasa ulaya wanafata papers za kuweza kuingia na kutoka ili afanye maisha mengine.
Na sio kukaa tu ulaya miaka 30 Kama ndondocha.

Inchi zenye maisha kwa Sasa ni
Australia,
South Korea,
Marekani,
Canada,
Japan.

Kutoboa ni one time.
Kweli wewe huna unalojua. Watu wapo miaka 40 kwenye nchi mojawapo Ulaya na hawana makaratasi.
 
Sijui tunakwama wapi aisee,jamaa atakua na darasa tarehe 1 okt ubungo plaza nadhani kufundisha namna ya kuomba green card,muitiko ni sifuri bado,naona wakenya wamemuita kabisa aende kenya kuwafundisha,jana jamaa nimeona amepost youtube yupo kenya aisee!
Huwezi kufuatilia mambo ya green card kama bado unapambana kutafuta pesa ya kula Leo tu.

Watanzania ni mafukara, usizuzuliwe na maclub na magari na bata zinazolika, hayo ni maisha ya watu wachache sana, na hata wenye uwezo wa kuafford hizo cost za hayo maprocess ya green card na wenyewe hawana mpango nayo Bongo kwao ni New York.

Green card rotary si mchakato Mdogo usidanganywe na mtu, utaambiwa ni bure lakini mbele ya safari utauona mziki wake ni cash ndio inahitajika kufanikisha mambo yako.

Medical examination tu wanachaguwa wenyewe ubalozi ukafanyie hospitali gani kwa gharama zako hapo ndio utajuwa hujui.
 
Kwa watu tulioishi ulaya Kama Mimi hunisumbuwi na ulaya.

Wengi hukimbilia ulaya sababu ya ulimbukeni mtupu.

Hivi mtu una kazi au shughuli zako za maana utakimbilia kupata $ 300 kwa mwezi?
Wewe umeishi ulaya IPI? Ugiriki ni ulaya jina tu mazee, hebu nikupe sample ya malipo ya vibarua wasiokuwa na ujuzi wowote England kwa SAA wanalipwaje? Tena hii ni avarage tu wapo wanapiga mpaka pound mpaka 20 kwa SAA.

How much does a Casual worker make in United Kingdom? The average casual worker salary in the United Kingdom is £22,530 per year or £11.55 per hour. Entry level positions start at £20,792 per year while most experienced workers make up to £32,004 per year.
 
Sio tu tumefungwa, bali na vichwa vyetu vimejazwa matope, ndio maana tunashindwa kufikiria nje ya box.

Wewe fuatilia comments za vijana wengi hapa katika thread ndo utaamini kuwa 95% ya vijana wa kibongo wana mawazo ya hovyo kabisa.
Hahahaha yah ni kweli. Mimi nafikiri ile style ya kula viporo kila siku asubuhi inachangia sana kuifanya akili ya mtanzania ilale muda wote.

Watanzania wamekuwa wazito mno katika kuchanganua mambo ya msingi yanayohusu mustakabali wa maisha yao.
Muda wote wanawaza ngono, mziki na habari za umbea.
 
Asiav ulaya Kuna vita kati ya umoja wa NATO na urusi niwasi wasi awo warundi wasije kuujumuishwa kwenye vikosi vya Jeshi vya nato wakapigane Vita bila ya wao wenyewe kujua maanA Serbia ni mwana chama wa NATO ila Kwa ulaya Asaiv ni majanga kibao kipindi Cha bAridi kinakaribia na wanaupungufu wa gas niwatakie safari njema Jirani zetu
 
Wewe umeishi ulaya IPI? Ugiriki ni ulaya jina tu mazee, hebu nikupe sample ya malipo ya vibarua wasiokuwa na ujuzi wowote England kwa SAA wanalipwaje? Tena hii ni avarage tu wapo wanapiga mpaka pound mpaka 20 kwa SAA.

How much does a Casual worker make in United Kingdom? The average casual worker salary in the United Kingdom is £22,530 per year or £11.55 per hour. Entry level positions start at £20,792 per year while most experienced workers make up to £32,004 per year.
Umefanya vizuri kumuelewesha. Wengi wanajifanya kuijua ulaya kupitia story za ndugu au jamaa zao waliopo huko, matokeo yake sometimes wanapotoshwa afu na wao wanakuja hapa kupotosha wengine.
 
Hahahaha yah ni kweli. Mimi nafikiri ile style ya kula viporo kila siku asubuhi inachangia sana kuifanya akili ya mtanzania ilale muda wote.

Watanzania wamekuwa wazito mno katika kuchanganua mambo ya msingi yanayohusu mustakabali wa maisha yao.
Muda wote wanawaza ngono, mziki na habari za umbea.
Wakati raia wengine wa Afrika Mashariki wakichangamkia fursa za kwenda ulaya kutengeneza maisha yao, wabongo wao wako busy kutafuta taarifa za dimpozi na baba yake, sijui haji manara kuongeza mke wa pili, dudubaya kujiunga wasafi nk.
 
Asiav ulaya Kuna vita kati ya umoja wa NATO na urusi niwasi wasi awo warundi wasije kuujumuishwa kwenye vikosi vya Jeshi vya nato wakapigane Vita bila ya wao wenyewe kujua maanA Serbia ni mwana chama wa NATO ila Kwa ulaya Asaiv ni majanga kibao kipindi Cha bAridi kinakaribia na wanaupungufu wa gas niwatakie safari njema Jirani zetu
NATO itumie warundi kupambana na Russia? Aliekwambia kuwa NATO iko vitani na Russia ni nani?

Bila shaka wewe unashindwa kutofautisha kati ya NATO, Umoja wa Ulaya na Ukraine.

Mtu mjanja hawezi kukataa fursa ya kwenda ulaya eti kwa kuogopa baridi ambayo hata Njombe, Iringa na kwenginepo ipo.
 
USD 300 kwa mwezi ?Au kwa siku ?USA hakuna kazi ya pesa ndogo kama hii kwa mwezi.Hata kama ni mfanya usafi wa vyooni.
Unapata $ 50 kwa siku.

Kwa mwezi ni $ 1500.

Unadaiwa Kodi ya kichumba $ 500 kwa mwezi.

Unakula $30 + usafiri kazini .

Utabakiwa na $ ngapi? Kama sio $ 300 au $400?

Au utalala nje ?
Utakula nn?
Husaidii ndugu?
Kazini utatembea kwa mguu?

Ng'ambo maisha ni gharama sio kama bongo.
 
Back
Top Bottom