[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2957][emoji28][emoji28]Na sisi ambao sio walevi itakuwaje?,maana mtu huwezi kutoa ahadi kizembezembe kisa juice ya ukwaju
Asa kama mwengine anaona kabisa apa hakuna dalili, alafu bado anang'ang'ania tu iyo sehemu. Anashauriwa lkn bado anaona mnamuonea. Unamuacha tu avumilie. Maana yee si ndo anayejua nini anataka?. Lakn yule anayejielewa hawez kukaa apo lazima ajiengue.Hehehehe....uvumilie nini sasa hapo?[emoji848]
Tumia hizo mbinu upate nyingineNimeachika asee[emoji26][emoji26][emoji26]
Fanya kwanza, usiogopeUnaweza fanya hivo na bado ukapigwa na kitu kizito
Ngoja niwe huru kwanza nilikuwa kifungoni mweehTumia hizo mbinu upate nyingine
Unaweza kuact kama mke mbele ya mvulana unazania nn kitatokea hapo?
Una point, ningekuwa singo ningekuchukua
Kumbuka pia kila mwanaume anaweza kuwa mme lakin sio kila.mwanaume anaweza kuwa mme boraKama ni mvulana bas huyo bado hafika hatua ya mwanaume then ya mume pia, subir akue to that level kwanza na kuhitimu hizo stage mbili [emoji1787]
Kumbuka pia kila mwanaume anaweza kuwa mme lakin sio kila.mwanaume anaweza kuwa mme bora
SawaNgoja niwe huru kwanza nilikuwa kifungoni mweeh
Kama hupigi mizinga, hakuna shidaπππNaweza kuwa side chiky [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaumwa wewe[emoji1787][emoji1787]
Na ukiazna usmbufu huu mwanaume analoose interest dkk 0
Mkuuu huku maji 600Mkuu unaongea hizi point kutokea pande zipi za Tanzania.....
Agiza maji madogo ya Jero, kisha utume control namba nilipe..
Kama hupigi mizinga, hakuna shida[emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya hizi sikukuu kupita πππImeisha hiyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tunaanza lini [emoji38]
Mkuuu huku maji 600
DaahππππTozo zimekukosesha Ofa Mkuu....
Daahππππ