Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Really?
 
Baada ya hayo yote mwanaume lazima atamchukulia poa tu,,, yeye ataamini kwamba ulikuwa anafanya hayo yote kwa sababu ya ulevi tu Wala hukuwa unamaanisha.

Mkuu haya Mambo hayanaga fomyula hata kidogo.
 
Jaribu kufanya majaribio, uje utupe ushuhuda
 
Yaan we saizi mpenzi wako aanze kukuomba umuoe we hujui kama unatakiwa kumuoa, ni kweli unahitaji kukumbushwa? Mpaka upigiwe magoti πŸ₯Ί
Nakua namdekea.Hadi anibembeleze.Ni vinogesho vya uchumba tu.Ila sipendi kumuumiza nafsi.
 
Hivi leo ukiniuliza nilimpataje mke wangu,sijui.It's all about some good,good love!β€οΈβ€οΈβ€οΈπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa hawa wengine, wanafikiri ndoa ni kitu rahisi; wanafikiri ni kuomba hela na kwenda saluni
 
Baada ya hayo yote mwanaume lazima atamchukulia poa tu,,, yeye ataamini kwamba ulikuwa anafanya hayo yote kwa sababu ya ulevi tu Wala hukuwa unamaanisha.

Mkuu haya Mambo hayanaga fomyula hata kidogo.
Mwanamke ananafasi kubwa ya kumshawishi mpenzi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…