Njia rahisi ya kuua upinzani ambayo Hayati Magufuli hakuitaka. Inafanya kazi vizuri

Njia rahisi ya kuua upinzani ambayo Hayati Magufuli hakuitaka. Inafanya kazi vizuri

Magufuli alikuwa mbishi tu. Alishauriwa kuwa hawa wapinzani kula nao. Usiwaache na njaa. Hizi kelele ni sababu wana njaa. Hakusikiliza akasema yeye hawezi ishi kinafiki.

Matokeo yake tukayaona. Ila wenzie wanajua..ni kula nao tu. Kwa sasa tunamshukuru Rais Samia hana baya. Anakula nao anawakumbuka. Husikii hbr za Katiba.

Lema mpaka anajisahau anasema Samia asisemwe. So yeye ndo anatoa ruhusa? Yaani anakula mpaka baadaye atasema Samia te a 2025. Mi nipo hapa.

Ajue hatuna mpango wa kumtukana. Ale tu kistaarabu. Wapinzani hupiga kelele wanapokuwa na njaa. Mnamsikia Zitto? Ha ha ha.... Sisi tunawajua tatizo lao ni nini.

Huyu Lissu ndo mbishi tu. Wenzie wanalamba asali kwa upole yeye kuna kipindi anajisahau na ubishi wake. Ila nashauri marais wote wakija. Usipambane na wapinzani kwa nguvu. Wapatie tu asali...wanalamba lamba wewe unaendelea na maisha yako.
Hivi mtu unakuwaje mshabiki wa CCM? Nashangaa sana jambo hili!
 
Magufuli alikuwa mbishi tu. Alishauriwa kuwa hawa wapinzani kula nao. Usiwaache na njaa. Hizi kelele ni sababu wana njaa. Hakusikiliza akasema yeye hawezi ishi kinafiki.

Matokeo yake tukayaona. Ila wenzie wanajua..ni kula nao tu. Kwa sasa tunamshukuru Rais Samia hana baya. Anakula nao anawakumbuka. Husikii hbr za Katiba.

Lema mpaka anajisahau anasema Samia asisemwe. So yeye ndo anatoa ruhusa? Yaani anakula mpaka baadaye atasema Samia tena 2025. Mi nipo hapa.

Ajue hatuna mpango wa kumtukana. Ale tu kistaarabu. Wapinzani hupiga kelele wanapokuwa na njaa. Mnamsikia Zitto? Ha ha ha.... Sisi tunawajua tatizo lao ni nini.

Huyu Lissu ndo mbishi tu. Wenzie wanalamba asali kwa upole yeye kuna kipindi anajisahau na ubishi wake. Ila nashauri marais wote wakija. Usipambane na wapinzani kwa nguvu. Wapatie tu asali...wanalamba lamba wewe unaendelea na maisha yako.

RAIS SAMIA TENA 2025. Wapinzani huwaui kwa nyundo unawaua kwa asali. Vyama vyao vinakufa tu automatically. Sasa wameachiwa wafanye Mikutano. Hawana Hoja. Lema anasema waendesha boda boda wamelaaniwa. Keshokutwa atasema Manesi wamelaaniwa.

Siku nyingine atasema walimu wamelaaniwa, wiki ijayo atasema wanajeshi wamelaaniwa. Sababu sasa hana hoja nchi inaenda vizuri anakula anakunywa. Hana cha kusema zaidi ya kuwageukia wananchi sasa kuwapasha.
Principle gani aliyokuwa nayo Magufuli?
Kuna rais aliyekuwa akihonga wapinzani kama Magufuli?
Magufuli alikuwa akinunua wabunge, madiwani na wenyeviti wa upinzani kwenda CCM na kiwapitisha bila mchakato wa kura za maoni ndani ya chama

Hakuna mnafiki kama yule mpumbavu, nyie mazezeta ndio mnaona alikuwa malaika
Shida ya upinzani ni kutoishi katika au kutokuwa na misingi. Principles. Hilo hasa. Magufuli asingeweza hata kidogo kuishi na unafiki wa namna ile. Si ndani wala nje ya CCM. Hakuwa mnafiki hata, so kama kilichomuua ni kutoishi maisha ya kinafiki then so be it. Kufa wote tutakufa sooner or later.
 
Hv ukitoa cdm na act ambao ni ndumila kuwili bongo kuna chama cha upinzani kweli!!???
 
Bado sana. Huyo fisadi wa msoga ataumia tu hamna namna
874C965F-1960-41AE-8328-53C0339A459A.jpeg
 
Wewe ndio hujui Siasa za nchi hii.

Kikwete alikula nao lakini alivuna alichopanda.

JPM ndio aliuwa upinzani wa nchi hii. Aliwashika hadi wakachoka. Sasa hivi wanapumua baada ya kupitia msoto. Hadi 2025 watakuwa wamepata nguvu tena.
 
Magufuli alikuwa mbishi tu. Alishauriwa kuwa hawa wapinzani kula nao. Usiwaache na njaa. Hizi kelele ni sababu wana njaa. Hakusikiliza akasema yeye hawezi ishi kinafiki.

Matokeo yake tukayaona. Ila wenzie wanajua..ni kula nao tu. Kwa sasa tunamshukuru Rais Samia hana baya. Anakula nao anawakumbuka. Husikii hbr za Katiba.

Lema mpaka anajisahau anasema Samia asisemwe. So yeye ndo anatoa ruhusa? Yaani anakula mpaka baadaye atasema Samia tena 2025. Mi nipo hapa.

Ajue hatuna mpango wa kumtukana. Ale tu kistaarabu. Wapinzani hupiga kelele wanapokuwa na njaa. Mnamsikia Zitto? Ha ha ha.... Sisi tunawajua tatizo lao ni nini.

Huyu Lissu ndo mbishi tu. Wenzie wanalamba asali kwa upole yeye kuna kipindi anajisahau na ubishi wake. Ila nashauri marais wote wakija. Usipambane na wapinzani kwa nguvu. Wapatie tu asali...wanalamba lamba wewe unaendelea na maisha yako.

RAIS SAMIA TENA 2025. Wapinzani huwaui kwa nyundo unawaua kwa asali. Vyama vyao vinakufa tu automatically. Sasa wameachiwa wafanye Mikutano. Hawana Hoja. Lema anasema waendesha boda boda wamelaaniwa. Keshokutwa atasema Manesi wamelaaniwa.

Siku nyingine atasema walimu wamelaaniwa, wiki ijayo atasema wanajeshi wamelaaniwa. Sababu sasa hana hoja nchi inaenda vizuri anakula anakunywa. Hana cha kusema zaidi ya kuwageukia wananchi sasa kuwapasha.
Hilo wazo ni zuri sana na ndio ambavyo hata JK aliishi nao vizuri hao wapinzani kwa kuwakaribisha chai Ikulu.

Lema ana nguvu za kubwabwaja sababu account yake imeshameza million kadhaa kabla hata hajapanda ndege kuja huku.

Wapinzani viherehere siku zote wako kwenye payroll ya raisi. Magufuli hakuona sababu ya kuwalipa ndio maana walikuwa wanamchukia sana. Ndio siasa ya bongo hio, mtu ana jeuri ya kusema hana njaa kwenye Media na kutukana boda boda. Asingeweza kufanya hivyo zama za Magu na ndio maana njaa ilipowazidia walikimbilia uhamishoni kwa kusingizia eti wako hatarini. 🤣
 
Lema ni mropokaji, hii imeumiza wengi hasa JK
Ndio wapinzani wanapopata kula yao. Yani huyo kumnyamazisha ni kupitia kibunda ndio anatulia tulia kidogo.
Zitto ndio siasa yake naye ya kupika makelele.
Mbowe naye kimya naona kashalipwa fidia ya billicanas.
 
Shida ya upinzani ni kutoishi katika au kutokuwa na misingi. Principles. Hilo hasa. Magufuli asingeweza hata kidogo kuishi na unafiki wa namna ile. Si ndani wala nje ya CCM. Hakuwa mnafiki hata, so kama kilichomuua ni kutoishi maisha ya kinafiki then so be it. Kufa wote tutakufa sooner or later.
Magufuli hakuwa kiongozi mnafiki atleast to CCM na wapinzani. Na ndio maana aliweza kufanya aliyoyafanya bila kukwama hadi walipoamua kumu assasinate.
 
Magufuli alikuwa mbishi tu. Alishauriwa kuwa hawa wapinzani kula nao. Usiwaache na njaa. Hizi kelele ni sababu wana njaa. Hakusikiliza akasema yeye hawezi ishi kinafiki.

Matokeo yake tukayaona. Ila wenzie wanajua..ni kula nao tu. Kwa sasa tunamshukuru Rais Samia hana baya. Anakula nao anawakumbuka. Husikii hbr za Katiba.

Lema mpaka anajisahau anasema Samia asisemwe. So yeye ndo anatoa ruhusa? Yaani anakula mpaka baadaye atasema Samia tena 2025. Mi nipo hapa.

Ajue hatuna mpango wa kumtukana. Ale tu kistaarabu. Wapinzani hupiga kelele wanapokuwa na njaa. Mnamsikia Zitto? Ha ha ha.... Sisi tunawajua tatizo lao ni nini.

Huyu Lissu ndo mbishi tu. Wenzie wanalamba asali kwa upole yeye kuna kipindi anajisahau na ubishi wake. Ila nashauri marais wote wakija. Usipambane na wapinzani kwa nguvu. Wapatie tu asali...wanalamba lamba wewe unaendelea na maisha yako.

RAIS SAMIA TENA 2025. Wapinzani huwaui kwa nyundo unawaua kwa asali. Vyama vyao vinakufa tu automatically. Sasa wameachiwa wafanye Mikutano. Hawana Hoja. Lema anasema waendesha boda boda wamelaaniwa. Keshokutwa atasema Manesi wamelaaniwa.

Siku nyingine atasema walimu wamelaaniwa, wiki ijayo atasema wanajeshi wamelaaniwa. Sababu sasa hana hoja nchi inaenda vizuri anakula anakunywa. Hana cha kusema zaidi ya kuwageukia wananchi sasa kuwapasha.

Naona mmeanza kucheza ngoma ya CHADEMA. Viva CHADEMA kwa strategy nzuri.
 
Wewe ndio hujui Siasa za nchi hii.

Kikwete alikula nao lakini alivuna alichopanda.

JPM ndio aliuwa upinzani wa nchi hii. Aliwashika hadi wakachoka. Sasa hivi wanapumua baada ya kupitia msoto. Hadi 2025 watakuwa wamepata nguvu tena.

JPM aliua Upinzani gani? Maana kafa yeye kaacha Upinzani unaendelea.
 
Magufuli alikuwa mbishi tu. Alishauriwa kuwa hawa wapinzani kula nao. Usiwaache na njaa. Hizi kelele ni sababu wana njaa. Hakusikiliza akasema yeye hawezi ishi kinafiki.

Matokeo yake tukayaona. Ila wenzie wanajua..ni kula nao tu. Kwa sasa tunamshukuru Rais Samia hana baya. Anakula nao anawakumbuka. Husikii hbr za Katiba.

Lema mpaka anajisahau anasema Samia asisemwe. So yeye ndo anatoa ruhusa? Yaani anakula mpaka baadaye atasema Samia tena 2025. Mi nipo hapa.

Ajue hatuna mpango wa kumtukana. Ale tu kistaarabu. Wapinzani hupiga kelele wanapokuwa na njaa. Mnamsikia Zitto? Ha ha ha.... Sisi tunawajua tatizo lao ni nini.

Huyu Lissu ndo mbishi tu. Wenzie wanalamba asali kwa upole yeye kuna kipindi anajisahau na ubishi wake. Ila nashauri marais wote wakija. Usipambane na wapinzani kwa nguvu. Wapatie tu asali...wanalamba lamba wewe unaendelea na maisha yako.

RAIS SAMIA TENA 2025. Wapinzani huwaui kwa nyundo unawaua kwa asali. Vyama vyao vinakufa tu automatically. Sasa wameachiwa wafanye Mikutano. Hawana Hoja. Lema anasema waendesha boda boda wamelaaniwa. Keshokutwa atasema Manesi wamelaaniwa.

Siku nyingine atasema walimu wamelaaniwa, wiki ijayo atasema wanajeshi wamelaaniwa. Sababu sasa hana hoja nchi inaenda vizuri anakula anakunywa. Hana cha kusema zaidi ya kuwageukia wananchi sasa kuwapasha.
YES, MUNGU HUWA ANANJIA YAKE YA KUWAOKOA WATU WAKE, ILA SABABU YA UPUMBAVU WAO WANAWEZA ANGAMIA. CHADEMA HAIKUTAMBUA MAGUFULI ALIKUWA SABABU YA WAO KUIMARIKA NA KUJUA KUJITEGEMEA SASA HIVI WATAKUFA.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom