Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
We need to start embracing a cashless economy
Taxes!!!We need to start embracing a cashless economy
“Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;Unaongea utumbo ukiwa na Yesu hvyo hautavamiwa na majambazi
Duh hatarinjombe nilikuwa napachukulia poa ila ni sehemu hatari
nasikia kuna tajiri mmoja huko aliitwa bomoa, alikuwa anateka wasichana mikoani anakuja kuwaweka kwenye danguro lake,
baada ya kufa polisi walichunguza nyumba yake wakakuta alikuwa na chumba cha kuchinjia watu
Hata mimi nashangaa pesa zina idadi. Hazikadiriwifedha "zinakadiriwa" kuwa milioni 47. huyo mkadiriaji ni nani
SurelyWe need to start embracing a cashless economy
Washanyofoa kibunda ....hawachelewagi.fedha "zinakadiriwa" kuwa milioni 47. huyo mkadiriaji ni nani
kuna ulinzi bro, kuna Jeshi la mbinguni. huwezi elewa kirahisi, ni neemaUnaongea utumbo ukiwa na Yesu hvyo hautavamiwa na majambazi
Inaonekana ulikuwa ndiyo utaratibu wake kumbe watu walikuwa wanamlia timing. Duania ya sasa ni kosa kubwa kufanya kitu kama hiki. Nakumbuka miaka ya nyuma nilifuatiliwa na watu wakati nilipopitia dukani kwa ndugu yangu jioni wakati anafunga, akanipa bahasha yenye vitabu vya risiti nimsaidie kupeleka nyumbani. Niliondoka na kupitia bar kupata moja. Walikuwa na demu moja mkali akawa anajigonga kwangu ili aniwekee dawa za usingizi kwenye bia.Hela zote hizi zinarudishwa nyumbani kufanya nini?
Any way R.I.P kaka, ulikuwa ushatoboa😭😭😭
With CCM governance and mwiguluconomic policies am not sure we have anywhere to go.We need to start embracing a cashless economy
Wezi wakitaka kukushambulia hawashindwi. Kwani ukifungua na remote si wanangoja tu uingie wanazama na wewe.dah mageti yetu haya ya kusukuma yanatuponza sana.....
ukiwa na hela jitahidi uweke mfumo ambao hutasubiri getini au hutahitaji kishuka ufungue
Kweli? Hebu tupe story zaidi. Mbona kuna mambo ya hovyo sana yanatokea kimya kimya na polisi hawatoi ripoti maalumunjombe nilikuwa napachukulia poa ila ni sehemu hatari
nasikia kuna tajiri mmoja huko aliitwa bomoa, alikuwa anateka wasichana mikoani anakuja kuwaweka kwenye danguro lake,
baada ya kufa polisi walichunguza nyumba yake wakakuta alikuwa na chumba cha kuchinjia watu