Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Yatakuwa bado yapo Jeshi la Polisi- Njombe...Ndiyo maana hawajatuma defenda pale kuwasambaratisha ....Mtendaji wa Kata hayajamfikia...."Maridhiano" huko bado hayajawafikia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yatakuwa bado yapo Jeshi la Polisi- Njombe...Ndiyo maana hawajatuma defenda pale kuwasambaratisha ....Mtendaji wa Kata hayajamfikia...."Maridhiano" huko bado hayajawafikia?
Siasa za ovyo kabisa. Mbwa inakataza Mbusi kula majani wakati hajayaotesha wala hayahitahi.Mradi wa Maji unaohudumia zaidi ya kaya 150, uliofadhiliwa na kusimamiwa na Chadema, na hatimaye kuzinduliwa na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, umesababisha Mtafaruku mkubwa huko Njombe.
Hii ni baada ya viongozi wa serikali kuwakalia kooni wanakijiji na kuwahoji kwanini waliwaleta Chadema kuzindua mradi huo.
Haya hapa ni Mahojiano ya viongozi hao na wanakijiji.
Kula chuma hicho:
View attachment 2631015