NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Swali:NMB account inaitwa chachap account wakati inapigiwa kampen mlitwambia haina makato hii imekaeje? Maana mi nilijiwekea 10000 yangu siku nataka kutoa naambiwa pesa haitosh vipi imekaeje hii?
 
Ni kweli siku hizi hamtoi mikopo kwa wafanyakazi wa umma?
 
NMB matawi yenu ya mwanza mjini munakua na teller mmoja au wawili kuhudumia wateja munabore sana wakati munajua wateja ni wengi tunakaa kwenye msitari Masaa mawili map aka miguu INA zama tumboni
 
Afadhali sasa maana kuna wahudumu wana nyodo huko mijengoni. ngoja nikaactivate account yangu then nitarudi kwa kuomba ushauri
 
NMB lake zone mtujuze nini kinaendelea tuliwekwa reserve ya waliofaulu interview since mwezi wa 6
 
Jamani, nmb leo imekuwajee!? Hizi atm zenu zina nn! Kibaha nzima hakuna pesa, magomeni hakuna pesa, ubungo hakuna pesaa! Tatizo nn!??
 
1) baadhi ya matawi yanasumbua sana kwenye kumechisha sahihi. Hata ukikosea kidogo sana wanakataa!

2) anzisheni online support hasa kwa watu waishiyo nje ya nchi. Si lazima kila wakati mteja afike kwenye tawi.
 
Nmb huduma kwa wateja kupitia namba 15566 inakera sana sana sana...kupatikana wahudumu ni shida...mbaya sana mteja anatumia gharama zake kwa upuuzi wenu:
Tatizo liwe lenu gharama za utatuzi akatwe mteja kwa njia ya kupiga...inakera sana....

NIMENUNUA UMEME WA LUKU JANA JIONI, HAKUNA JIBU LA KUPEWA UMEME NA PESA YANGU IMEKATWA....ACHENI HIZO NYIE VIUMBE...
 
ATM zao hazipungui foleni, wanaweka ATM nyingi inayofanyakazi nimoja au hakuna. mfano ubungo.
 
PONGEZI ! PONGEZI ! PONGEZI !
Miezi mitatu nyuma NMB Mobile hasa kupitia m pesa ilikuwa ni kero ukitoa hela leo itarajie kesho au kesho kutwa ila kwa mwezi uliopita nililalamikia sana ubovu wa huduma hadi niliamua kwenda tawi lenu la Mbinga nilipofika pale nilisimama ktk foleni kwa masaa matatu mwisho nikaingia kwa teller nako nikasimama masaa 2, nikahudumiwa ila roho iliniuma sana kupoteza masaa 5 ktk benki. ila mwezi huu nawapongeza kwa kuiboresha NMB Mobile hasa M pesa nawapongeza kwa hilo. N.B HUDUMA ZENU ZA ATM BADO NI KERO SHUGHULIKIE HILI TATIZO WATEJA TUTAKIMBIA KWA USUMBUFU HUU.
 
habari za kazi je kuhusu kadi za azam zimefika kwenye matawi yote ya nmb tanzania..
 
Kigoma ni shida tupu ATM zipo wazi kila mtu unapotoa pesa anaona no ya siri saa nini maana yakua na no ya siri alafu manager yupo vizuri lakini hao wafanyakazi wengine toa wakalime kwao wamechoka kazi
 
Kiukweli nmb natumia kwa sababu ya mshahara tu basi.. yaan atm folen yake ni ishu hapa iringa twn
 
Alafu wakati wa mishahara ndo network inasumbua, hawa NMB hakuna lolote Atm kibao zote hazina pesa. Riba ya mikopo ipo chini tatizo rushwa daah kama walimu ndo wanatia huruma kabisa.
 

Wale wadada wa bunda wamepinda wote, hata huyo Agnes ni wale wale tu, wako pale kana kwamba hii bank ni ya baba zao, ni vile tu account ya ofisi vinginevyo siwezi kuingiza miguu yangu NMB bunda, but big up kwa customer manager wa tawi la Kenyatta road mwanza anajua anachokifanya sio wale mambugila wa bunda
 
Poleni sana kwa kuuliza maswali bila kujibiwa, haya ndio maisha yetu hata tukienda kwenye hii bank ya NMB. Unaweza ukahitaji ufafanuzi ila wahudumu wakawa wakali/ wakakutizama tu.

Twendelee kuuliza maswali, yazidi kukaa foleni kama vile tunavyopanga mistari katika Bank yetu ya NMB. Mwaka huu nakuja kuomba mkopo NMB sasa ole wake load officer aniombe rushwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…