mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
NMB Tanzaniamnamo mwezi wa may,2014 nilikatwa kimakosa fedha zangu jumla ya kiasi cha shilingi.......kupitia account yangu namba...........cha kushangaza nimefuatilia mara kwa mara bila mafaniko na sasa umeingia mwaka mwingine sina matumaini ya kurudishiwa fedha zangu.
Tafadhali nawaomba mshughulikie suala hili, nitawasiliana na nyinyi for more details
Tafadhali nawaomba mshughulikie suala hili, nitawasiliana na nyinyi for more details
Last edited by a moderator: