NMB, mmeamua kupunguza muda wa mkopo kutoka miaka5 hadi3, kwa sbb-:
1. pesa mmepeleka serikalini kwa ajili ya uchaguzi
2. pesa mmewakopesha walima mipunga, miwa hasa kilombero alafu wengi wao hawajavuna kitu
3. pesa mmewakopesha wafanyabiashara wameshindwa kurudisha
4. wengi wenu mmejichotea mapesa na kununua magari tumeona Nmb Tawi La Kilombero Meneja
Amesimamishwa Kazi. Hayo Yote Ya Kwenu Sisi Kama Wateja Hayatuhusu, Mmeshindwa Kuwakopesha Wafanyakazi Ambao Marejesho Yao Ni Ya Uhakika 100%.
Je, Mnampango Gani Ktk Hilo? Unapunguza Muda Wa Mkopo Wakati Kiwango Cha Kuchukua Kipo Palepale 40%?? Tunaomba Jibu Wana "JF"