NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Fidelis Sanga;

Well said mkuu. You have empted my mind. Mimi nilifungua akaunt kilwa masoko. Nikahamishiwa kilombero morogoro. ATM card ilipoisha muda wake, hapo ndo nilipoanza kujuta kuwa mteja wa NMB.

Nilisumbuliwa mpaka nikaamua kufungua akaunti nyingine CRDB ili kupitishia pesa zingine nje ya mshahara. Sasa nimehamishiwa songea ATM card inaexpire mwezi wa 9.

Nikifiria usumbufu wa kusubiri kadi mpya huku nikipanga foleni ndani ili nichukue pesa..... acha tuu..
 
Last edited by a moderator:
Namba yao ya simu ukipiga wanakuwekea matangazo dakika karibia kumi huku pesa kwenye simu inakatika tu yaani huduma zao ni hovyo kweli

Siku 1 nilipiga ile namba ya nmb mobile kutoa malalamiko kwani nilihamisha pesa toka benki kwenda m-pesa na hazikufika. Nilikuwa na salio la shs. 1800 kwenye simu. Simu ilipoita tu mziki ukaanza kuimba mpaka salio likaisha na simu ikakata... ni sheeedah tupu.
 
Ni wazo zuri la kuwa na thread ya Bank.Mimi sina lalamiko lolote juu ya mfanyikazi yeyote, ila naomba mambo yafuatayo:-

1.Mtu aruhusiwe kwa siku kwenye ATM kuchukua kiwango chochote,si hela yake?!Sh 1,000,000 ni kiwango kidogo sana kwa kweli!Kama kuna technical problems tunaomba tuambiwe

2.Mara nyingi hela zinaisha kwenye ATMs,na hii inaudhi sana.Naomba mlishuhulikie swala hili.Mimi binafsi swala hili limeshawahi kuni-inconvinience sana.

3.Ukihitaji replacement ya card ya mteja inachukua muda mrefu mno,and this is very inconvinient.Angalieni uwezekano wa kupunguza muda to a bare minimum.

4.Mwisho, sometimes tellers wanakuwa wachache mno.Hii inawafanya wateja wakae bank more than is neccessary. Hakikisheni mna monitor idadi ya wateja ili muweze kuongeza tellers accordingly.

Kazi njema.
 
Najaribu kupiga namba hazipatikani au kuna muda maalum Wa kupiga?kama ndio ni kuanzia SAA ngapi hadi SAA ngap?
 
Ni wazo zuri la kuwa na thread ya Bank.Mimi sina lalamiko lolote juu ya mfanyikazi yeyote, ila naomba mambo yafuatayo:-1.Mtu aruhusiwe kwa siku kwenye ATM kuchukua kiwango chochote,si hela yake?!Sh 1,000,000 ni kiwango kidogo sana kwa kweli!Kama kuna technical problems tunaomba tuambiwe 2.Mara nyingi hela zinaisha kwenye ATMs,na hii inaudhi sana.Naomba mlishuhulikie swala hili.Mimi binafsi swala hili limeshawahi kuni-inconvinience sana.3.Ukihitaji replacement ya card ya mteja inachukua muda mrefu mno,and this is very inconvinient.Angalieni uwezekano wa kupunguza muda to a bare minimum.4.Mwisho, sometimes tellers wanakuwa wachache mno.Hii inawafanya wateja wakae bank more than is neccessary.Hakikisheni mna monitor idadi ya wateja ili muweze kuongeza tellers accordingly.Kazi njema.

Kwangu binafsi nawashukuru sana kwa kuaanzisha Uzi huu.pia kwa mawasiliano mliyotoa.

Napenda kuuliza hizi namba za simu mlizotoa zina muda maalum Wa kupiga?.maana napiga haziko hewani!!kama ndio ni kuanzia muda UPI na UPI?
 
Siku 1 nilipiga ile namba ya nmb mobile kutoa malalamiko kwani nilihamisha pesa toka benki kwenda m-pesa na hazikufika. Nilikuwa na salio la shs. 1800 kwenye simu. Simu ilipoita tu mziki ukaanza kuimba mpaka salio likaisha na simu ikakata... ni sheeedah tupu.

Najaribu kupiga namba hazipatikani au kuna muda maalum Wa kupiga?kama ndio ni kuanzia SAA ngapi hadi SAA ngap?

Labda upige kuanzia SAA 6usiku
 
Ndugu,Hospitali yetu inaupungufu mkubwa wa vifaa tiba nipe mwongozo nfuate utaratibu gani mtusaidie
 
Kuna muhudumu wenu anaitwa Neema Swai tawi La Handeni...aisee yule dada msipomkanya mtakuja kuuguza majeraha siku moja.dd ana nyodo sana anafanya km ile ni taasisi yake hajibu watu maswali Yao vizuri, muda wote anakisirani alafu yuko sehemu ya customers care

hivi mtu wa aina hii Kwann hata msimuweke awe teller tu kuliko pale anakera watu? Muonyeni aisee kabla hatujamuonya sisi
 
Tunaomba muweke huduma ya mtu akiwa na cheque apate cash, na siyo kumlazimisha mtu kufungua akaunt
 
Kwa nini mmepunguza muda Wa mikopo kwa Watumishi toka 5 hadi 3?
 
Maafisa mikopo ni shida,wanaendekeza rushwa kwa watumishi sana ili kupata mkopo kwa haraka.
 
Unapoomba balance kwa kutumia sim banking majibu yasije kama popup msg. Naomba kupokea jibu la balance kama msg ya kawaida ili nikitaka ku save niweze. Fanyeni kama ukiwa unauliza tigo pesa balance
 
Pia unapotuma pesa kwa nmb mobile kwenda mpesa huwa inachukuwa siku nzima kufika kwenye account ya mpesa tatizo ni nini??
 
Huduma zenu slow na benk yenu sio ya mipango ukiwa na dili la fasta ukitegemea pesa ukachukue Nmb Bank imekula kwako unaweza ukakaa Masaa hata sita kwenye foleni ajabu yenyewe unaweza ukakuta kuna madirisha 4 ya kutoa huduma lakini ajabu yenyewe unaweza ukaona huduma linatoa dirisha 1tu why
 
nlichojifunza kwenye thread hii ni kwamba NMB kama benki haiitaji wateja ila WATEJA ndio wanaiitaj NMB
:yo::yo:
 
hii nmb nlikuja kuidharau na kuachana nayo na kuchukua ela yote,ni pale kadi ya atm ilipoisha,nlipofungua ndio nkarenew kadi,alf mi mi mfanyabiashara,yan nitoke mtwara nirud ifakara,ndo nlipowapa uwaz wao uyo meneja na wahusika wake na nkatoa pesa yote,kadi nkatupia mbali,its about 2yrs ago.
 
Back
Top Bottom