mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
NMB inalalamikiwa kwa kuwaibia wateja pesa hasa wale wanokopa.
Nadhani serikali imeibeba sana hii benki kwa kuwalazimisha watumishi wengi kupitishia mishahara yao kwenye benki hii. Vinginevyo hii benki ingekuwa imeshapotelea mbali na kubaki kama SACCOS tu mana haina huduma nzuri.
Huduma mbovu NMB inatokana na kuajiri watu wengi wenye vyeti feki na kujuana. Nendeni mkaone wasomi waliotulia CRDB na vyeti vyao halisi.
NMB badilikeni.
Benki yenu haibadiliki ipo ipo tu kwanini msiwe wabunifu ? Watu wanatafuta hela kwa shida kwenda kutunza hela zao na kuchukua pia wapate shida ? You have to be creatives and avoid conservatism.