Wakikujibu uni tagHuduma yenu ya salary advance vp,mbona imekua kama bahati nasibu?mara uambiwe masaa 48 utashughuliwa,shida nn wakuu?
Gharama za kuhamisha hela Kwa NMB mtupunguzie kidogo aiseee maana ni maumivuSalaam Radavi,
Tunajitahidi kukufikia kwa kuweka huduma mbadala za NMB Wakala na NMB Mobile karibu yako zaidi kuwezesha kufanya miamala ya kifedha kwa urahisi.
Hakuna ujinga sipendi kama kutoa rushwa kwenye mkopo.Naona kama tunarudishana kwenye ujimaUnataka kutoa Rushwa upate mkopo??
Ni laki 5 kwa loan officer
Pole sana Evonatus,Kwangu hiyo nmb mobile imekuwa ni kero,nilipoteza line ya simu wakaniambia nikarudishe laini iliyopotea,nikafanya hivyo nikawapelekea ofisini ofisini bado hakuna kitu,fomu nimejaza lkn bado ni yaleyale, sasa sijui ugumu ni nini.ukifika pale MTU anakuambia nenda tu kwenye machine ukajiunge huku fomu tumeshaituma .yaani ni tabu tupu.
Pole sana Nyiokunda,Customer care mbovu sana hasa Mlimani city .Una active dormant account unaambiwa utapigiwa simu ikiwa sawa unakaa week nzima kimya, mpaka unaenda unaambiwa hatuja fungua account ilikuwa na matatizo kidogo.Hivi kwa hali ya sasa money circulation ni ndogo plus ushindani bado mnakuwa wanzembe! naamisha pesa zangu na kufunga account.
Hello Mkorinto,kwanini mnachelewesha mikopo pasipo na sababu za msingi???
Hello Marashi,NAULIZA: je naweza kuchukua fedha kwa NMB wakala ikiwa sina kadi ya benki NMB?
Yaani bado siku 10 tu muda uliosema utimie! Mi nilidhani utani, naona siku zinasonga tu.Watakuja kukujibu baada ya miezi miwili