nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,976
- 1,181
Customer care mbovu sana hasa Mlimani city .Una active dormant account unaambiwa utapigiwa simu ikiwa sawa unakaa week nzima kimya, mpaka unaenda unaambiwa hatuja fungua account ilikuwa na matatizo kidogo.
Hivi kwa hali ya sasa money circulation ni ndogo plus ushindani bado mnakuwa wanzembe! naamisha pesa zangu na kufunga account.
Hivi kwa hali ya sasa money circulation ni ndogo plus ushindani bado mnakuwa wanzembe! naamisha pesa zangu na kufunga account.