NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Jamaa anaweza kuwa amekufuatilia muda mrefu akaisoma password, then akifanikiwa kuiba ATM CARD au simu ni kufanya muamala fasta. Na sio lazima awe mwizi anaweza kuwa hata mwanao aliyeasi au mume uliyemtishia kumuacha [emoji3]
Ahaa,hapo sawa.Ndio maana tunatakiwa kuwa makini sana na passwords zetu.
 
Hili swali litakuwa ni gumu!! Mimi sijui hata wanakataga ngapi nikitoa hela kwenye ATM,yaani mi ni kuweka na kutoa tu,sijui nakatwa ngapi! Nilidhani ntapata mwanga hapa ila bado giza tu!
Ukizifikiria izi 300 wanazokata kwy izi Bank unaweza ukatamani usiwe na Account kwy Bank yoyote.

Huwa wana mchezo mala ukilupia umeme au maji au vitu vingine unakuta wamekata 300 izi. Zinauma Sana
 
260f314e7b4a96e22cfd432dab4bf456.jpg

pemgtoonet.com
Mwifwa
areafiftyone
King Kong III
Capt Tamar
Mponda 02
kiumbempole
Shukrani mkuu.

Naona kutoa ndio constant.

Ila upande mwingine wanapiga pesa sana
 
Ukizifikiria izi 300 wanazokata kwy izi Bank unaweza ukatamani usiwe na Account kwy Bank yoyote. Huwa wana mchezo mala ukilupia umeme au maji au vitu vingine unakuta wamekata 300 izi. Zinauma Sana
Tunapgwa sana tu,...mfano,umetoa bank umekatwa,kwenda mitandao ya cm,ukitoa wanakata tena...hatari
 
Nadhani kiwango cha salio wanachokata kinategemea na aina ya account yako, mana kuna business, student etc..
 
Jamaa anaweza kuwa amekufuatilia muda mrefu akaisoma password, then akifanikiwa kuiba ATM CARD au simu ni kufanya muamala fasta. Na sio lazima awe mwizi anaweza kuwa hata mwanao aliyeasi au mume uliyemtishia kumuacha [emoji3]

Hahaaa huyo atakua al Shaban Ila ni kweli Mm Tagikistan yangu slumps ATM mumewe kwa kumuamini kilichomkuta hatokisahau bwana katoa hela yote kaenda lipia kodi ya nyumba ya mchepuko
 
Hii mpya mi najua kutoa milioni unatakiwa kutoa maratatu maana maximum kwa mkupuo ni lakini nne
Ni kweli ila hawa jamaa ni wahuni,wanaweka Noti za 5000 tu hiyo yako inawezekana kama kukiwa na noti za 10000,Tambua kwamba ATM inatoa Noti 40 tu,Kama wakiweka noti za 5000 maana yake Max ni laki 2,so ili utoe mlio(1m) inabidi utoe mara 5 hivyo unalambwa 4,720/=
 
Hao jamaa binafsi sina imani nao kabisa.

Kwenye account yangu nilikuwa na almost 30k, ila nilihitaji kudeposit amount nyingine then nifanye transfer kwenda another bank.

Kwavile transfer kati ya bank na bank kuna makato huwa wanakata, so nikaenda kuconfirm salio kwa mhudumu wao (nmb) before sijadeposit. Nikamuandikia namba fresh. Yule teller akaniandikia salio langu kwenye kikaratasi alafu akanipa huku ananiangalia jicho flan hivi la kuibia. Kuangalia, salio linasoma 13k.

Nikatoka pale mezani kwake, ikabidi nimuulize mdau mwingine kama teller anaweza hamisha salio.

Binafsi mpaka leo naamini kuna uhuni walinifanyia.
 
Back
Top Bottom