Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu Elimu Elimu,Lowassa angetoa Elimu bure mpaka chuo kikuu,Mngekuwa mnakula Milo mitatu,ona sasa unavyojiaibisha,najua una njaa ndio maana umeshindwa kuelewa nilivyoandika,ngoja nirudie..."Nimesema mabenki ni wahuni wanaweka noti za 5000 kwenye ATM ili ukienda kutoa milioni utoe mara 5"-Hii ina maanisha ukiweka noti za 5000 maximum ni noti 40 tu ambazo ni laki mbili,umeelewa? kama haujanielewa niulize tena, Ungekuwa mtumiaji mzuri wa ATM ungekuwa unalijua hilo tatizo haujawahi kutoa milioni ndio maana haujawahi kukutana na hiyo issue,uliza wanaotoa milioni kwenye ATM,wewe hela zako zimezidi kwenye account ni laki na 80 tena mshahara wa muhindi,Account yangu ya kwanza kufungua Mwaka 2000 wakati huo bado unanyonya ndio kwanza una mwaka 1.Nadhani wewe hujawahi tumia ATM
Milioni unatoa Mara 3 tu
Mara ya kwanza lakini 4, Mara ya pi
I laki 4 na ya mwisho laki 2
Au vyovyote utavyoona itimie 1m
Mfano 3+3+4
Nadhani umepata mwanga maana hujawahi tumia ATM mkuu
Shukrani kwa Kumuelewesha,Tatizo humu wengi ni watoto na wanajifanya wajuaji sana.We ndo hujamwelewa...Kasema wakiweka 5000 atm wanakufosi utoe mikupuo mi 5,kwa makusudi.Wanajua wakiweka 10000 mnatoa mikupuo michache,na jamaa hakujua kama atm imewekwa kiasi icho
Hahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli kakaaa wanaboaa hatariiNMB Magomeni huduma mbovu mno. Nilizungushwa zaidi ya wiki kufungua akaunti nikaamua kwenda NMB Ilala ikanichukua chini ya lisaa kupata akaunti. NMB Magomeni wachunguzwe na kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu kuanzia boss hadi yule wa chini kabisa.
Elimu Elimu Elimu,Lowassa angetoa Elimu bure mpaka chuo kikuu,Mngekuwa mnakula Milo mitatu,ona sasa unavyojiaibisha,najua una njaa ndio maana umeshindwa kuelewa nilivyoandika,ngoja nirudie..."Nimesema mabenki ni wahuni wanaweka noti za 5000 kwenye ATM ili ukienda kutoa milioni utoe mara 5"-Hii ina maanisha ukiweka noti za 5000 maximum ni noti 40 tu ambazo ni laki mbili,umeelewa? kama haujanielewa niulize tena, Ungekuwa mtumiaji mzuri wa ATM ungekuwa unalijua hilo tatizo haujawahi kutoa milioni ndio maana haujawahi kukutana na hiyo issue,uliza wanaotoa milioni kwenye ATM,wewe hela zako zimezidi kwenye account ni laki na 80 tena mshahara wa muhindi,Account yangu ya kwanza kufungua Mwaka 2000 wakati huo bado unanyonya ndio kwanza una mwaka 1.
Hao jamaa binafsi sina imani nao kabisa.
Kwenye account yangu nilikuwa na almost 30k, ila nilihitaji kudeposit amount nyingine then nifanye transfer kwenda another bank.
Kwavile transfer kati ya bank na bank kuna makato huwa wanakata, so nikaenda kuconfirm salio kwa mhudumu wao (nmb) before sijadeposit. Nikamuandikia namba fresh. Yule teller akaniandikia salio langu kwenye kikaratasi alafu akanipa huku ananiangalia jicho flan hivi la kuibia. Kuangalia, salio linasoma 13k.
Nikatoka pale mezani kwake, ikabidi nimuulize mdau mwingine kama teller anaweza hamisha salio.
Binafsi mpaka leo naamini kuna uhuni walinifanyia.
NMB ATM ya mkoani kibaha kwa mkuu wa mkoa mbona inacheua kila ukiweka card?
Nimeenda jana na leo kila nikiingiza master card yangu inaniambia nichague lugha, nikibonyeza kitufe tu unashangaa card inacheuliwa. Ebu fanyenyi matengenezo kesho napita tena hapo
Ungekuwa umefungua tangu mwaka 1995 ungekuwa ushakutana na issue za kutoa 1 milioni KWA 5 times(@ 200k) na wala haujui kwamba ATM hizi zetu inatoa Noti 40 tu at a time,nilisema kabisa bank wanaweka 5000 kusudi ili max utoe laki 2,umeelewesha na waelewa hapo juu lakini ni ubishi tu kwasababu ya kukurupuka na kujifanya kujua,ACHA USHAMBA.Haha
Umeharibu tu ulipoeleza kwa jaziba
Imedhihirisha ni jinsi gani ulivyopinguani
Kumtolea maneno ya kike MTU usiyejua kiwango chake cha elimu wala kipata na ata umri inaonekana hukwenda while vya kutosha
Pole sana mdogo wangu siyo kosa lako Bali wazazi kutokukupeleka shule
Wewe unasema umefungua akaunti yako ya kwanza mwaka 2000
Wakati mwenzio tangu mwaka 1995 nilikuwa Nina akaunti bank.