kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,829
Ndugu wapendwa ningependa kufaham mambo muhimu/Msingi ya kuzingatia hasa baada ya kufungua hii Fixed Deposit account
Je?
1. Unapewa mkataba baaada ya kuifungua ya kiasi cha pesa ulichoweka Na utakachopata?!
2. Endapo kama ikifika Muda let say 3 monthes after depositing Na hawaja kuongezea io RIBA taratibu ni zipo
Naomba wataalam wanisaidie Na vitu vingine zaidi
NB: kama hujui subiri tuje kujuzwa Na wanaojua kuliko kupost Mambo mengne
IKo hivi, unatakiwa kwanza uwe na akaunti ya kawaida (personal account ) ,kisha unaweka pesa kwenye hiyo akaunti.
Baada ya hapo unaingia mkataba wa fixed account, mkataba huo unakuonyesha kiasi unachoweka kwenye Fixed account na muda ya kukomaa(maturity ) wa pesa yako na kiwango utakachopata baada ya kodi.
Hela itaatolewa toka kwenye account ya kawaida na kwenda kwenye akaunti ya fixed na baada ya muda wa kukomaa kufika pesa hiyo pamoja na faida itarudishwa kwenye akaunti yako ya personal /binafsi