Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Umejibana kwenye kaeneo kadogo sana. Sidhani hata mleta mada anakereka na mwanamke kutafuta. Wapo wanawake ni watafutaji lakini wamesimama katika zamu zao kama wake wema na mama bora wa familia.Sasa mtu atakaaje ndani kama mwali jmni karne hii maisha yenyewe magumu sio kma zamn lbd ata mmevuna chakula kipo ndani saivi inabidi tyu wote tukatafte
Yule ni kopo kabisa Wala hafai kuwa kwenye kundi la wasomiMwenyekiti naye tunamuweka ndani.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Ukiona amefikisha hizo na kutoka ujue Kuna mda alikuwa nunda mambo ya kamshinda mwenye degree zake
Prof anajitambua sana. Wasiwasi wako tu. Akikatiza anga zangu mi naruka naye ohoo! 76 yrs old nini bana! Uzee mwisho Chalinze ati!Shimba ya Buyenze bro usilete hii balaa nyumbani mimi imenishinda kaka[emoji1787]
Kwamba mnatua kila kiwanja? Ila muwe makini na kile cha BukobaHahahahaaaa... kwahiyo sisi wa kuoa lasaba na form four itakuwa sisi ni Bombardier sio...
Mkuu na wew ni mwanaume?Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
😂😂😂😂😂😂😂😂Ndalichako utamuonea,ngoja tukupe Dorothy Gwajima ukione cha Moto!!
Unamaanisha betina mkuu?Gwajima cha mtoto. Tumpe kile chuma cha Mjerumani kimbaumbau mkangafu kutoka Green City tuone kama atatoboa [emoji16][emoji16][emoji16]
Mambo si ndio haya sasa. Lazima nikutunze, nikulee, uumalizie uzee wako vizuri. Nikufute machungu yoteee😘😘😘😘Prof anajitambua sana. Wasiwasi wako tu. Akikatiza anga zangu mi naruka naye ohoo! 76 yrs old nini bana! Uzee mwisho Chalinze ati!
Prof. Pellaiah pulizi kamu zisi wei [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.
Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.
Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri
Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.
Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.
Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.
Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...
Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
Glenn soma hiyooo....[emoji1727][emoji1727][emoji1727][emoji1734][emoji1734]Mambo si ndio haya sasa. Lazima nikutunze, nikulee, uumalizie uzee wako vizuri. Nikufute machungu yoteee[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Utaingia chaka mkuu.Mkuu na wew ni mwanaume?
Hilo nalo linawezekana😂😂🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Na si kwamba kuna shida mahali!!!
Mawaidha mazuri sana kwake.Wanawake wasomi wana matatizo sana mjukuu hasa hawa wanaojifanya eti wanaharakati uchwara wa usawa wa kijinsia.
Siku ukiolewa mjukuu weka digrii yako ya uhandisi pembeni na jitahidi sana kwa mumeo uwe mke na uujue vyema wajibu wako siyo tu kitandani na jikoni bali pia nafasi ya mumeo katika maisha yako. Utakula mema ya nchi mpaka ushangae!
Tatizo ukiweka misimamo kwa hao nshomile utakuwa unaoa Kila siku. Ndoa haiwezi kuvumilika.Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Gwajima siyo cha Mtoto,kumbuka alimuamrisha IGP Siro amuweke ndani Shemeji yake Mchungaji Gwajima, sema Siro alitumia busara sana kumpuuza Dorothy Gwajima na wala hakumkamata Gwaji boy!![emoji3][emoji3]Gwajima cha mtoto. Tumpe kile chuma cha Mjerumani kimbaumbau mkangafu kutoka Green City tuone kama atatoboa [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa uzoefu wangu ninayoyaona kwenye jamii wanawake wasomi waliopo 45+ hivi wana nafuhu hawa kipindi wanasoma hizi itikadi za feminism zilikua bado hazijaingia bongo ila hawa wa 20-30+ ni kisangaHaya mambo hayana formula kuna jirani yangu hapa ni mwaka wa 7 huu kaoa mwanamke ana Phd yeye aliishia la 4 na sio kwamba ni very very wealth na huyu mama ni very respectful to her husband..