No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Sasa mtu atakaaje ndani kama mwali jmni karne hii maisha yenyewe magumu sio kma zamn lbd ata mmevuna chakula kipo ndani saivi inabidi tyu wote tukatafte
Umejibana kwenye kaeneo kadogo sana. Sidhani hata mleta mada anakereka na mwanamke kutafuta. Wapo wanawake ni watafutaji lakini wamesimama katika zamu zao kama wake wema na mama bora wa familia.

Kama ni mwanaharakati uchwara hata awe mama wa nyumbani moto ni ule ule tu. Pulizi usijaribu kuudogosha mjadala huu kwa kutaka kuuondolea mawanda yake mapana ya kimalimwengu maana hata Ulaya na Marekani usomi na uanaharakati huu wa haki za kijinsia ndiyo umechangia kuisambaratisha taasisi ya ndoa na familia.
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Mkuu na wew ni mwanaume?
 
Prof anajitambua sana. Wasiwasi wako tu. Akikatiza anga zangu mi naruka naye ohoo! 76 yrs old nini bana! Uzee mwisho Chalinze ati!

Prof. Pellaiah pulizi kamu zisi wei [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mambo si ndio haya sasa. Lazima nikutunze, nikulee, uumalizie uzee wako vizuri. Nikufute machungu yoteee😘😘😘😘
 
Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.

Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.

Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri

Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.

Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.

Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.

Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...

Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo

Hii ni hofu tu mushi, mwanamke ni mwanamke tuu.....
wanaume wenzangu mnakosa kujiamini kwa hawa dada zetu!!!!
Mwanaume ni baba na sauti yako niya mwisho ukisema umesema hakuna wakupinga,
tuache uwoga wakuwaogopa hawa dada zetu!!!
Ukimuogopa mwanamke hata uyo unaesema la 7 siku akiamua kukutingisha utatingishika tu....!!!
Hapa bwana mushi mimi sijakuabaliana ma wewe
 
Mambo si ndio haya sasa. Lazima nikutunze, nikulee, uumalizie uzee wako vizuri. Nikufute machungu yoteee[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Glenn soma hiyooo....[emoji1727][emoji1727][emoji1727][emoji1734][emoji1734]

Karibu sana Prof. Tena hata tuhela twa mafao bado sijatumaliza. Njoo tutumalizie pamoja [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wanawake wasomi wana matatizo sana mjukuu hasa hawa wanaojifanya eti wanaharakati uchwara wa usawa wa kijinsia.

Siku ukiolewa mjukuu weka digrii yako ya uhandisi pembeni na jitahidi sana kwa mumeo uwe mke na uujue vyema wajibu wako siyo tu kitandani na jikoni bali pia nafasi ya mumeo katika maisha yako. Utakula mema ya nchi mpaka ushangae!
Mawaidha mazuri sana kwake.
Ila huyu mjukuu wako ni rangi rangi sana kama upinde wa mvua.
 
Ukiwa mwanaume kamili na ukaijua nafasi yako kwenye jamii hakuna mwanamke ataleta shida kwenye maisha yako tatizo vijana wa sasa hamna misimamo ya kiuanaume kwahyo mnatafuta wanawake mnaoweza kuwakandamiza ni ujinga na mtarithisha watotowenu uoga wa mbwa koko wanaume kama ww nawaona mafakeni tu hamna jipya kwenye ulimwengu huu
Tatizo ukiweka misimamo kwa hao nshomile utakuwa unaoa Kila siku. Ndoa haiwezi kuvumilika.
 
Gwajima cha mtoto. Tumpe kile chuma cha Mjerumani kimbaumbau mkangafu kutoka Green City tuone kama atatoboa [emoji16][emoji16][emoji16]
Gwajima siyo cha Mtoto,kumbuka alimuamrisha IGP Siro amuweke ndani Shemeji yake Mchungaji Gwajima, sema Siro alitumia busara sana kumpuuza Dorothy Gwajima na wala hakumkamata Gwaji boy!![emoji3][emoji3]
 
Haya mambo hayana formula kuna jirani yangu hapa ni mwaka wa 7 huu kaoa mwanamke ana Phd yeye aliishia la 4 na sio kwamba ni very very wealth na huyu mama ni very respectful to her husband..
Kwa uzoefu wangu ninayoyaona kwenye jamii wanawake wasomi waliopo 45+ hivi wana nafuhu hawa kipindi wanasoma hizi itikadi za feminism zilikua bado hazijaingia bongo ila hawa wa 20-30+ ni kisanga
 
Back
Top Bottom