No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Agiza kinywaji au supu
 
Mba mba mba ,Nye Nye Nye! hahaaaa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa nguvu gani wewe za kunihemesha. Acha kukusanya point dogo.
Kwani kwa dhaifu kama wewe inahitajika nguvu basi?
Maujanja tu mdogomdogo unachizika tu.
Ujanja wako ni mdomo mrefu kama wa panya buuku🤣🤣🤣🤣
 
Respect sawa ila sasa kwenye harakati✌️maswala ya kutulia ndani kma mwaliii
 
Kwani kwa dhaifu kama wewe inahitajika nguvu basi?
Maujanja tu mdogomdogo unachizika tu.
Ujanja wako ni mdomo mrefu kama wa panya buuku🤣🤣🤣🤣
Panya buku wewe.
 
Respect sawa ila sasa kwenye harakati[emoji3577]maswala ya kutulia ndani kma mwaliii
Na wewe ni mwanaharakati eeeh!?

Kwamba huwezi kutulia kwa mumeo eeeh!?

Kwamba unataka usawa pasu 50/50 eeeh!?

Basi sawa! [emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…