StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Hahahahaaaa utalindia silaha gani mkuu?Siwezi kupiga kura yangu na kurudi nyumbani kisha MAHARAMIA kama wale waliopora fomu za Wagombea Ubunge na Udiwani waje kufanya yao. Nitapiga kura na KUILINDA hadi mshindi halali atakapotangazwa pale pale kwenye kituo cha kupigia kura. Sawa sawa rafiki? CCM HOYE!
View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
HUYU MAMA HURUMA ZAKE ZA KUSTAAJABISHA, HAFANANI KABISA KUWA MSHIRIKA WA MAGUFULI ,ANA IMANI SANA LAKINI KAZIDIWA POWER NA JIWE,NAKUOMBA TUNDU LISU UTAKAPO KUWA RAISI USIMSAHAU KWENYE UFALME WAKO.
Ukimya wa Kikwete kwa kampeni hizi una maana kubwa sanaCCM kwa miaka 5 imetengeneza maadui wengi badala ya marafiki!!
Wanakwenda kuangushwa ni dhahili bin shahili.
Acha utani kiongozi wale jamaa kwa faulo siyo poaCCM ikishinda mm nakunywa sumu
Ohoooo!!!Ukimya wa Kikwete kwa kampeni hizi una maana kubwa sana
Natunza hii tweet, Kuna mwenzako amesema atakuwa tayari kugeuzwa kinyume na maumbile.CCM ikishinda mm nakunywa sumu
Hahahahah hawa vijana wa bavicha ni vichwa maji.Kwani Mola ndo alikwambia kwamba kalipanga hilo la kuangushwa CCM au? Kwamba wewe unawasiliana na huyo Mola?
Silaha za jadi hazipo?
Umesahau yule OCD aliyerambwa mishale? Hatuwezi kuwaachia MAHARAMIA wa CCM waje kufanyia fujo Mawakala na kupora nakala za matokeo kama yalivyofanya kwenye mchakato wa Ubunge na Udiwani.
Tayari NEC wametupiga wapiga kura 29 milioni wanatokea wapi? Au ndio hizo zinazochapishwa na jamana! Ndugu tujiandae kuingia road anza kupasha maana safari itaanza tarehe 30CCM ikishinda mm nakunywa sumu
Kwani hizo kata na ubunge ndo kura za urais???View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Ya kwangu naomba uichukulie kama chai (chachandu) tu ya Jamiiforums. Usininukuu mkuu.Natunza hii tweet, Kuna mwenzako amesema atakuwa tayari kugeuzwa kinyume na maumbile.
Kwa taarifa yenu CCM inashinda .
Hapana. Robert Amsterdam anafuatilia kwa makini suala la Jamana kuchapisha karatasi za kura. NEC inajichetua tu, ukweli utawekwa wazi ndani ya siku 7.Propaganda za Mnyika zapanguliwa na Tume ya Uchaguzi, endeleeni kula hayo matango pori. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wacha JPM awanyooshe mtakoma mwaka huu. ''Mlikolalia sisi ndio tumeamkia.''
Itayarishe hiyo sumu ikae mezani.CCM ikishinda mm nakunywa sumu
Mi kinacho nishangaza ni pale CHADEMA wanapotegemea watz ndio walinde kura zisiibiwe!kweli?hawa hawa waoga hivi???hapa sio Kenya !!labda Kigogo na Robert Amstadarm waandae kikosi kazi cha kijeshi cha kulinda kura zisiibiwe nchini!!!la sivyo ni utopolo fc kutegemea raia walinde kura!!!
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk