Zipo mkuu,nadhani itakuwa walitoa mwanzoni wakasitisha kama ilivyo kwa jero ya silver/sarafu.Hakunaga Noti ya 500 yenye Picha ya Nyerere kwa Ndani.
Toleo la Noti hizo za 500 zilikua na Picha ya Twiga!
Hiyo Noti ilowekwa kwenye huu Uzi imefanyiwa Editing..!
Unayo moja tu?Ninayo Mkuu ila nipo Moshi huku.......
Sasa fanya hivi kwenye hiyo 120k toa hapo 40k kwa ajili ya usafiri wako unifate....., ukifika stendi unanikabizi changu nakupa chako halafu hamna kujuana......, Ishu ya kulala, kula, pamoja na usafiri wa kurudi zifanye kama running cost hivyo utajua mwenyewe utakavyo generate your profit
Kila la kheri mkuu, stay positiveMbona uko negative sana,siwezi post JF kitu ambacho sjakihakiki,otherwise mwenye kudai ana noti awe ndo tapeli au boss wangu awe ndo anatapeliwa na waliomtuma,niko makini sana mkuu.
Ndiyo ipo MojaUnayo moja tu?
Kwahiyo unataka umuwahi mwenzio?Tuma ya note moja tu 120,000/= nakuja nazo 16.
Wewe ni mdau wa Utafutaji wa hizo hela?Zipo mkuu,nadhani itakuwa walitoa mwanzoni wakasitisha kama ilivyo kwa jero ya silver/sarafu.
Ninayo moja na nipo moro ila wadau wmeshanitisha aseeeeZipo mkuu,nadhani itakuwa walitoa mwanzoni wakasitisha kama ilivyo kwa jero ya silver/sarafu.
Haswaaaaa!!Kwenye Kikombe Cha Babu Ambilikile
Umezaliwa mwaka gani kiongoziLoliondo kwenye nini
Sikufatilia hilo mkuu,sikuwa interested na mambo ya loliondo,Nilipata habari zilizokuwa hyped tu.