Noti ya mia tano ya zamani inahitajika,iwe na nyati,nyoka,jengo pamoja na picha ya nyerere ikiwa kwa ndani,offer 120k(laki na ishirini).

Noti ya mia tano ya zamani inahitajika,iwe na nyati,nyoka,jengo pamoja na picha ya nyerere ikiwa kwa ndani,offer 120k(laki na ishirini).

Wakuu,Inahitajika noti ya miatano ya zamani kama inavyoonekana kwenye picha hizi[emoji116]

Contact:0613063581
Location: Morogoro.
Offer: 120,000/=

Note:Mimi dalali tu,boss amesema hata ikiwa zaidi ya moja ananunua.View attachment 2624969View attachment 2624971
Naona siku hizi mmeachana na biashara ya Lupia mmebuni nyingine

Anyway wale wanaouza na kununua pesa za zamani maeneo ya kariakoo hizo noti wanazo kibao nenda ukanunue
 
M
Ni weezy na utapeli tu ,haujawai kusikia jinsi watu wanavyotapeliwa kwa kutafuta hela za mjerumani ,mercury nyekundu na vijipesa kama hivyo vya TZ? Na hii ni moja ya style ya UTAPELI inaanza mtu anahitaji mia 5 ya noti(Kwa laki na 20) ,kisha anatokeza TAPELI mwenzake wanasema kuna mtu anazo yupo Morogoro anauza kwa elfu 50(Hapa unaona unapata cha juu elfu 70) kumbe huyo wa Moro ni Tapeli mwenzake 😀 😀 then unaingizwa mtu kati unapukutishwa mchana kweupe.
Morogoro bhana ishakuwa ya matapeli sana😀😀jamaa aliyeleta uzi atakuwa yupo kwenye chain ya scammers au anatumika bila kujua,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ogopa matapeli.... tatizo ni ujinga wa wabongo wenyewe ndio tatizo

Mimi niliwahi shuhudia mtu analipa 200k ukienda kupiga mluzi makaburini

Nakumbuka tulikua tunacheza Mpira kwenye uwanja wa kanisa la kikatoliki akaja mbaba mmoja smart akamtaka kijana mmoja ambae anaweza kufanya hivyo kwenye makaburi ya kanisa

Matapeli nao wamo ukikaa kizembe umeishaaa
Kwa upande wangu hakuna utapeli,nimejiridhisha kabla.
 
Back
Top Bottom