NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.

Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?

Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?

THIS IS IRRITATING...

View attachment 2292838
NSSF wana Miradi ya Nyumba za Kuuza ambazo wanatakiwa wazimarket ili zipate wateja wapo pia na Steve Nyerere for the same ! Sio kila kitu kulalamika tuuu!! Tafuta Fursa Baba acha kulalama nyuma ya KYB
 
NSSF wana Miradi ya Nyumba za Kuuza ambazo wanatakiwa wazimarket ili zipate wateja wapo pia na Steve Nyerere for the same ! Sio kila kitu kulalamika tuuu!! Tafuta Fursa Baba acha kulalama nyuma ya KYB
Acha kabisa kuna watu wana undugu na lawama
 
NSSF wana Miradi ya Nyumba za Kuuza ambazo wanatakiwa wazimarket ili zipate wateja wapo pia na Steve Nyerere for the same ! Sio kila kitu kulalamika tuuu!! Tafuta Fursa Baba acha kulalama nyuma ya KYB
Ehe

Ova
 
NSSF wana Miradi ya Nyumba za Kuuza ambazo wanatakiwa wazimarket ili zipate wateja wapo pia na Steve Nyerere for the same ! Sio kila kitu kulalamika tuuu!! Tafuta Fursa Baba acha kulalama nyuma ya KYB
Nyumba zipi hizo,zile za ubora wa chini wametumia pesa ndg,material hafifu vijumba vidogo,wanataka uza mamilion Mia na kadhaa
Hujiulizi kwanini haziuziki na watu hawana mzuka nazo

Ova
 
Kama ni kweli, basi tunarudi kusema kwamba Serikali inapambana kukusanya pesa lakini haijui hizo pesa zitumike wapi. Ndio maana watumishi wa taasisi nyingi za serikali wanajilipa pesa nyingi kuliko kazi wanazozifanya. Rais akistaaf anaendelea kulipwa vilevile pamoja na kujengewa Jumba la heshima. Na bado ataendelea kupata stahiki zake zote hata kama alijirisha na nafasi aliyo kua nayo.

Jana tumeona ule mV8 kama zawadi kwa kamanda. Lakini si yeye mwenye wajibu wa kulijaza mafuta.
Malipo kwa wafanyakazi ni makubwa ndio maana serikali inashindwa kumuinua kundi la walala hoi ambao ni wengi.

Hakuna jipya. Tusubiri Mungu mwenyewe atakavyo amua hatima ya nchi yetu na africa kwa ujumla, lakini kwa sasa wananchi wanahangaika kulisha matumbo ya watu waliopo madarakani
 
Usipende kupanic kwa mambo abayo hayana impact kwenye maisha yako hio ni comment ya mtu lakin naamin kama una pressure itakua imepanda hii ni jukwaa huru na ni uwanja wa fujo mambo mengine unayapotezea life is too. short
Nan kapanic ukiwa kilaza unaambiwa
 
Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.

Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?

Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?

THIS IS IRRITATING...
Hii nand na nass wameamua kufanya biashara na wataingiza pesa nyingi kutokana na hili hawa ni celebrity so wana impact kubwa Sana Kwa jamii. Ndugu mwwnachama tafadhal Kuwa mpole
 
Kama ni kweli, basi tunarudi kusema kwamba Serikali inapambana kukusanya pesa lakini haijui hizo pesa zitumike wapi. Ndio maana watumishi wa taasisi nyingi za serikali wanajilipa pesa nyingi kuliko kazi wanazozifanya. Rais akistaaf anaendelea kulipwa vilevile pamoja na kujengewa Jumba la heshima. Na bado ataendelea kupata stahiki zake zote hata kama alijirisha na nafasi aliyo kua nayo.
Jana tumeona ule mV8 kama zawadi kwa kamanda. Lakini si yeye mwenye wajibu wa kulijaza mafuta.
Malipo kwa wafanyakazi ni makubwa ndio maana serikali inashindwa kumuinua kundi la walala hoi ambao ni wengi.
Hakuna jipya. Tusubiri Mungu mwenyewe atakavyo amua hatima ya nchi yetu na africa kwa ujumla, lakini kwa sasa wananchi wanahangaika kulisha matumbo ya watu waliopo madarakani
Wadau wanakuambia hao jamaa ni brand Hahaha

Ova
 
Hii nand na nass wameamua kufanya biashara na wataingiza pesa nyingi kutokana na hili hawa ni celebrity so wana impact kubwa Sana Kwa jamii. Ndugu mwwnachama tafadhal Kuwa mpole
Jamii ipi au jamii yenu ya kileo

Ova
 
Yale yale ya kina Kigwangala kupanda mlima Kilimanjaro na kina Steve
NSSF wana Miradi ya Nyumba za Kuuza ambazo wanatakiwa wazimarket ili zipate wateja wapo pia na Steve Nyerere for the same ! Sio kila kitu kulalamika tuuu!! Tafuta Fursa Baba acha kulalama nyuma ya KYB
 
Back
Top Bottom