Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
kama alivompoteza saa 8Kikwete una moyo wa huruma kweli, nungekuwa mimi wote walioimba Wana imani na mtu fulani ningewapotezA kama nusu hivi
Kopo tupu ndugu yangu![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Rais kichaa kweli huyo
Waziri wa ujenzi alikuwa anaitwa nani?Hii kauli ilitolewa na waziri wa ujenzi na sio rais wa TZ
Ikulu ya Magogoni itabaki kama Makumbusho.Nitapiga mnada majengo ya Wizara wakikataa kuhamia Dodoma
Unamuuliza nani? Kama pogba Ana kauli nzuri si uzitaje??Mmh ina maana huyu mheshimiwa hanaga kauli nzuri?
Magereza Oyee! Ukonga Oyee!!Gereza sio sheraton hotel,wafungwa waenyeshwewafanyekazi,wapate chakula kwa jasholao.
hahahaHaya wewe njoo tupige picha