Mmmmmmh!!!!! Mungu. Tuepushee. Na ichi. Kikombee. Yani. Hii shidaa tunayo.. Pataa. Ndo shidaa wataipata USA. maana naona. Nao.. Wamebugi.. Kama. Siee tu
 
mwandishi:nje na siasa kitu gani kingine unapendelea?
Rais:Unataka nikwambie nakupenda wewe?
Kwa kweli nilimhurumia yule dada aliyeuliza hilo swali kwani alikosa amani baada ya kupata jibu hilo toka kwa mr. Jpm
 
Chunga kijana hayo ni maneno ya ovyo na chochezi
 
Ukiona hauna hela mfukoni ujue hela ulizokuwa nazo hazikuwa zako.....
 
"Ukimkamata Jambazi mlaze chini kabla hajakulaza weww".. ... "atakayeleta fyoko fyoko znz nipigie japo kwa kuninong'oneza dk 5 nyingi "
 
"kuna watu wana husda sna....hta kma unaogelea baharini watakwambia unawatimulia vumbi"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kwenye ahadi zangu sikuhaidi tetemeko"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kama kweli na hii alisema basi jamaa sio mzima kwakweli
 
Mimi ni mzee mtu mzima na mama wa zaidi ya miaka 70. Kwa hiyo chunga sana kuita majina watu usiowajua!!
KWANI NANI MTU NUSU WEWE! Hata ungekuwa na miaka 200 narudia tena kusema kwa msisitizo MANENO YAKO NI YA OVYO NS CHOCHEZI
 
KWANI NANI MTU NUSU WEWE! Hata ungekuwa na miaka 200 narudia tena kusema kwa msisitizo MANENO YAKO NI YA OVYO NS CHOCHEZI

Wewe ndiye mtu nusu, yawezekana.

Au ndiyo nazidi kumwaga maneno kuchochea??

Sawa tu, acha nikuchochee mpaka uwake moto mithili ya ule wa welding!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…