Wewe unaona hapo katika picha kuna chochote cha maendeleo ya mkulima? Ni miradi ambayo wafaidika wakubwa ni wale waliochukua tenda, yaani MABEBERU.
 
Nimeamua kuyatoa maisha yangu sadaka kwa ajili ya kuwapigania watanzania ikibidi hata nife. Maisha yangu hayatakuwa na thamani kama Rais kwa kuona watanzania wakifa kwa kukosa dawa hospitali, watoto wa masikini wakikosa elimu, hali ya usafiri ikiwa mbaya, halafu mimi niwe sehemu ya wanaoshiriki kuhujumu taifa hili kwa kufukuzana na machinga barabarani huku tukiacha kukusanya kodi kwa wanaokwepa kulipa kodi ya serikali. Nimeamua nchi iende na atakayejaribu kutukwamisha, atakwama yeye mwenyewe Rais Magufuli
 
Siasa haijawahi kuwa mchezo msafi, hata siku moja.
 
Alisema atawapiga wapinzani mpaka shangazi zao.

Akasema atamkata mtia nia yeyote kwa kuangalia alivyoamka siku hiyo.

Huyu anaweza kusema lolote.
 
Kuna jamaa kilosa aliambiwa ana kiherehere ndo maana anazabuliwaga makofi na mkewe


Halafu Dodoma hamna joto kunafaa kwa kupiga push ups za haraka haraka zile za Asubuhi.🀣🀣
Mtoto Kama Unampa Uji Na Bado Analia Si Unamzaba Kibao Ili Abugie Uji Vizuri.
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜„πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hayo mbona hata Mobutu seseko aliyasema sana. kule kwa Kagame wanaamini yeye ndiye kila kitu. Hahahaa mnajidanganya na vimaneno vya kujitia moyo. Disgrace.
 
Alisema atawapiga wapinzani mpaka shangazi zao.

Akasema atamkata mtia nia yeyote kwa kuangalia alivyoamka siku hiyo.

Huyu anaweza kusema lolote.
Hata shetani alikuwa mbinguni akimwimbia na kumtukuza Mungu.
 
Wajinga ndo watamwani huyu mzee kama ameamua kurisk asipokee mshahara hata sh.100 pia amrudishe Azory Gwanda na Ben-Saanane.
Hahaha jamaa ana maumivu moyoni kwa matendo yake. Anajaribu kutafuta sympathy.
 
Mtoto Kama Unampa Uji Na Bado Analia Si Unamzaba Kibao Ili Abugie Uji Vizuri.
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜„πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Nimemuonya DAS kutembea na wake za watu hasikii Leo tunamalizana Hapahapa...., (Mke mwenyewe mchepuko JHOKATE) ..........lol
 
Nimemuonya DAS kutembea na wake za watu hasikii Leo tunamalizana Hapahapa...., (Mke mwenyewe mchepuko JHOKATE) ..........lol
Haya Nawe DAS Mpya Ni Mwanamke
Mwende Mkagombee Wanaume Na Mkuu Wa Wilaya
πŸ˜πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Alisema atawapiga wapinzani mpaka shangazi zao.

Akasema atamkata mtia nia yeyote kwa kuangalia alivyoamka siku hiyo.

Huyu anaweza kusema lolote.

Kushona barakoa ni rahisi tu, si ipo kama titi? Aah samahani Wazir wa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…