Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Nchi gani hizo zilitaka kutujengea ikulu? Au ni China?
Huyo Jiwe kwa "fix" tu hajambo!

Nina uhakika hakuna nchi yoyote iliyoomba kutujengea Ikulu, bali hizo zilikuwa "kamba" zake kama ilivyokuwa kawaida yake!

Kwa kuwa kama ni kweli, hilo jambo limefanyika, tunamuomba Mheshimiwa Rais atuonyeshe hiyo tender, ili tuweze kuijua ni nchi gani na ilileta lini hiyo tender
 
“Zipo Nchi ziliomba kutujengea Ikulu nikasema hizi dharau, ukimruhusu jirani akutandikie kitanda chako cha kulala na Mkeo siku nyingine atafanya maajabu hasa akiwa na nguvu, akishindwa kuchukua Mkeo atachukua Mabinti zako, hata majirani atawachukua, Ikulu tunajenga wenyewe"
Hii ndio kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu ccm Jana mjini Dodoma.

Hongera JPM kwa uthubutu na kujiamini kwako hatuwezi kukubali kujengewa kila kitu.

Yuko sahihi kwa 50% ila kwa 50% zingine anajidanganya kwani hata kama wanaojenga Ikulu wakiwa ni Wazawa bado Maadui wanaweza Kuijua.
 
“Zipo Nchi ziliomba kutujengea Ikulu nikasema hizi dharau, ukimruhusu jirani akutandikie kitanda chako cha kulala na Mkeo siku nyingine atafanya maajabu hasa akiwa na nguvu, akishindwa kuchukua Mkeo atachukua Mabinti zako, hata majirani atawachukua, Ikulu tunajenga wenyewe"
Hii ndio kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu ccm Jana mjini Dodoma.

Hongera JPM kwa uthubutu na kujiamini kwako hatuwezi kukubali kujengewa kila kitu.


China hiyo waambie wajenge viwanja vya mipira
 
Off course kiusalama sio jambo jema kabisa kwa ikulu kijengwa na wakandarasi wa kigeni.

Hata ule ujio wa Bush na Obama TZ wakaigeuza ikulu yetu kama sebule yao kwa kisingizio cha usalama wa viongozi was far beyond standard requirement.
Bado unaishi karne zilizopita mkuu, kama bado una fikra za kudhani Ikulu inalinda "usalama wa viongozi."

'Pride' ya kujijengea iwe tu hivyo hivyo, sio kwa sababu ya usalama.
 
Huyo Jiwe kwa "fix" tu hajambo!

Nina uhakika hakuna nchi yoyote iliyoomba kutujengea Ikulu, bali hizo zilikuwa "kamba" zake kama ilivyokuwa kawaida yake!

Kwa kuwa kama ni kweli, hilo jambo limefanyika, tunamuomba Mheshimiwa Rais atuonyeshe hiyo tender, ili tuweze kuijua ni nchi gani na ilileta lini hiyo tender
Na kama ipo nchi yoyote (iliyoomba? Hivi nchi itaanzaje lakini kuomba?)

Kwa sasa hivi hakuna nchi yoyote duniani inayotafuta kujikweza kwetu, isipokuwa...

Lakini, hili nalo liwe jambo la kujisifia? Mbona Gavana Mtua wa pale Machakosi, Kenya kajenga ikulu, 'replica' ya Ikulu yao ya Nairobi?

Hili nalo liwe jambo la kutafutia ujiko?
 
Meko anapenda kujisifia kama ndgu zake wa kagera,oooh najenga miradi kwa pesa zetu kumbe kakopa ADB mpka hakopesheki tena

Usilete ujinga wako hapa, kama huna jambo jema la juzungumxs kuhusu binadamu.mwenzako ni bora uka kaa kimya, kwani unanufahika vipi kutaja taja makabila - inferiority complex ndio inakusumbua hapa, you think you can build yourself/tribe up by tearing others/tribes DOWN!
 
Ni katoa taarifa, utafsiri wako ndio umeona amejisifu !
Na kama ipo nchi yoyote (iliyoomba? Hivi nchi itaanzaje lakini kuomba?)

Kwa sasa hivi hakuna nchi yoyote duniani inayotafuta kujikweza kwetu, isipokuwa...

Lakini, hili nalo liwe jambo la kujisifia? Mbona Gavana Mtua wa pale Machakosi, Kenya kajenga ikulu, 'replica' ya Ikulu yao ya Nairobi?

Hili nalo liwe jambo la kutafutia ujiko?
 
Ngosha mweny asili ya Uzaramo lol, aibu kweli khaaaaaaah
 
Kvp?
Off course kiusalama sio jambo jema kabisa kwa ikulu kijengwa na wakandarasi wa kigeni.

Hata ule ujio wa Bush na Obama TZ wakaigeuza ikulu yetu kama sebule yao kwa kisingizio cha usalama wa viongozi was far beyond standard requirement.
 
Tungebezwa sana, kama ilivoshangaza AU kujengewa makao makuu na Uchina, zile ni dharau.
Waethopia wanajenga Bwawa la umeme litakalo kuwa kubwa kuliko yote Afrika wao wenyewe na mwezi wanaanza kujaza maji. La kwetu kadogo tu ka nne kwa ukubwa Afrika bila la Ethiopia, tumempa kandarasi Mwarabu wa jangwani na PhD zimejaa. Ikulu ya tembe mabeberu wangekuwa na uwezo wa kujenga kuliko Wagogo wenyewe waliozaliwa, kukulia na kuishi toka mababu na mababu? Utamaduni wa Kigogo ni vema umezingatiwa!
 
Msivae barakoa ...akavae na mkewe...imekaa kama TITI..wanaogawa wakamatwe
 
Back
Top Bottom