Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
"Nasikia kuna watu wanataka kumwaga damu.Mimi nawaambia wajaribu hata kumwaga mkojo waone" by ngoshi wa mama janeth
 
'Mimi nyimbo zenu ninazithamini sana paka za huyu Zanani aah Zuchu'
 
Off course kiusalama sio jambo jema kabisa kwa ikulu kijengwa na wakandarasi wa kigeni.

Hata ule ujio wa Bush na Obama TZ wakaigeuza ikulu yetu kama sebule yao kwa kisingizio cha usalama wa viongozi was far beyond standard requirement.
 
Sasa nimepinga nini hapo? Mimi nimeuliza swali kutokana na maelezo kwenye mada. Sasa kashfa na matusi ya nini? Kama huna jibu si bora unyamaze kuliko hivyo ulivyo jibu? Sijui kama umesoma mada na kisha swali langu kama umeelewa
Kakojoe ulale we kima mnakalia kupinga tuu kila kitu shwain wahed.

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Sasa nimepinga nini hapo? Mimi nimeuliza swali kutokana na maelezo kwenye mada. Sasa kashfa na matusi ya nini? Kama huna jibu si bora unyamaze kuliko hivyo ulivyo jibu? Sijui kama umesoma mada na kisha swali langu kama umeelewa

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Mwanzo wa ngoma lele we kibonde mtu mwenye saikolojia nzuri anaona kwa viashiria na Tulimumu bahati yako nimekustua vinginevyo ulishajiandaa kupinga na hili pia.

Acheni uboya bana sawa Magu anasifiwa saa singine hadi inakera Ila nanyi mnapinga kila kitu hadi mnaboa
 
Sasa nimepinga nini hapo? Mimi nimeuliza swali kutokana na maelezo kwenye mada. Sasa kashfa na matusi ya nini? Kama huna jibu si bora unyamaze kuliko hivyo ulivyo jibu? Sijui kama umesoma mada na kisha swali langu kama umeelewa

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
mkuu,achana nae huyo,kuna watu huja humu na hasira za nyumbani kwao
 
“Zipo Nchi ziliomba kutujengea Ikulu nikasema hizi dharau, ukimruhusu jirani akutandikie kitanda chako cha kulala na Mkeo siku nyingine atafanya maajabu hasa akiwa na nguvu, akishindwa kuchukua Mkeo atachukua Mabinti zako, hata majirani atawachukua, Ikulu tunajenga wenyewe"
Hii ndio kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu ccm Jana mjini Dodoma.

Hongera JPM kwa uthubutu na kujiamini kwako hatuwezi kukubali kujengewa kila kitu.

Mzee Baba lazima atoe mfano wa kumhusu mwanamke?

Wapinzani atawapiga mpaka shangazi zao. Mchimba Tanzanite aongeze mke. Wafadhili watachukua wake na mabinti zetu!

Magufuli hata akiwa na kitu kizuri cha kusema, atakisema vibaya.

Yani anampongeza mchimba madini ya Tanzanite, hapo hapo akachomekea habari za kuoa mke mpya.

Kwenye kujenga Ikulu, lazima aingize habari za wanawake.

Ni kama vile akili yake yote iko kwa mwanamke.

Na ikiwa bado nchi inafadhiliwa bajeti na wahisani, haiwezi kuepuka fedheha ya kufadhiliwa, hata kama Ikulu tumejenga wenyewe.
 
Ngoja nikuache maana nisije nika fanana nawe wenye akili watashindwa kututofautisha. Mithali 26: 4
Mwanzo wa ngoma lele we kibonde mtu mwenye saikolojia nzuri anaona kwa viashiria na Tulimumu bahati yako nimekustua vinginevyo ulishajiandaa kupinga na hili pia.

Acheni uboya bana sawa Magu anasifiwa saa singine hadi inakera Ila nanyi mnapinga kila kitu hadi mnaboa
 
Jambo jema. Maendeleo hayana vyama. Tuchape kazi kulijenga taifa letu. Utanzania na Uzalendo kwanza vyama vyetu vya siasa baadaye.
 
“Zipo Nchi ziliomba kutujengea Ikulu nikasema hizi dharau, ukimruhusu jirani akutandikie kitanda chako cha kulala na Mkeo siku nyingine atafanya maajabu hasa akiwa na nguvu, akishindwa kuchukua Mkeo atachukua Mabinti zako, hata majirani atawachukua, Ikulu tunajenga wenyewe"
Hii ndio kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu ccm Jana mjini Dodoma.

Hongera JPM kwa uthubutu na kujiamini kwako hatuwezi kukubali kujengewa kila kitu.
Meko anapenda kujisifia kama ndgu zake wa kagera,oooh najenga miradi kwa pesa zetu kumbe kakopa ADB mpka hakopesheki tena
 
Back
Top Bottom