Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamwita CHUCHU'Mimi nyimbo zenu ninazithamini sana paka za huyu Zanani aah Zuchu'
Tumetaka Commander In Chief, tukapata Comedian In Chief.Kushona barakoa ni rahisi tu, si ipo kama titi? Aah samahani Wazir wa afya
Kakojoe ulale we kima mnakalia kupinga tuu kila kitu shwain wahed.Nchi gani hizo zilitaka kutujengea ikulu? Au ni China?
Kakojoe ulale we kima mnakalia kupinga tuu kila kitu shwain wahed.
Mwanzo wa ngoma lele we kibonde mtu mwenye saikolojia nzuri anaona kwa viashiria na Tulimumu bahati yako nimekustua vinginevyo ulishajiandaa kupinga na hili pia.Sasa nimepinga nini hapo? Mimi nimeuliza swali kutokana na maelezo kwenye mada. Sasa kashfa na matusi ya nini? Kama huna jibu si bora unyamaze kuliko hivyo ulivyo jibu? Sijui kama umesoma mada na kisha swali langu kama umeelewa
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
mkuu,achana nae huyo,kuna watu huja humu na hasira za nyumbani kwaoSasa nimepinga nini hapo? Mimi nimeuliza swali kutokana na maelezo kwenye mada. Sasa kashfa na matusi ya nini? Kama huna jibu si bora unyamaze kuliko hivyo ulivyo jibu? Sijui kama umesoma mada na kisha swali langu kama umeelewa
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Ya CUF, TLP, CCM, UDP, SAU ama chama gani?Tungebezwa sana,,kama ilivoshangaza AU kujengewa makao makuu na Uchina ,zile ni dharau.
“Zipo Nchi ziliomba kutujengea Ikulu nikasema hizi dharau, ukimruhusu jirani akutandikie kitanda chako cha kulala na Mkeo siku nyingine atafanya maajabu hasa akiwa na nguvu, akishindwa kuchukua Mkeo atachukua Mabinti zako, hata majirani atawachukua, Ikulu tunajenga wenyewe"
Hii ndio kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu ccm Jana mjini Dodoma.
Hongera JPM kwa uthubutu na kujiamini kwako hatuwezi kukubali kujengewa kila kitu.
Mwanzo wa ngoma lele we kibonde mtu mwenye saikolojia nzuri anaona kwa viashiria na Tulimumu bahati yako nimekustua vinginevyo ulishajiandaa kupinga na hili pia.
Acheni uboya bana sawa Magu anasifiwa saa singine hadi inakera Ila nanyi mnapinga kila kitu hadi mnaboa
Meko anapenda kujisifia kama ndgu zake wa kagera,oooh najenga miradi kwa pesa zetu kumbe kakopa ADB mpka hakopesheki tena“Zipo Nchi ziliomba kutujengea Ikulu nikasema hizi dharau, ukimruhusu jirani akutandikie kitanda chako cha kulala na Mkeo siku nyingine atafanya maajabu hasa akiwa na nguvu, akishindwa kuchukua Mkeo atachukua Mabinti zako, hata majirani atawachukua, Ikulu tunajenga wenyewe"
Hii ndio kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu ccm Jana mjini Dodoma.
Hongera JPM kwa uthubutu na kujiamini kwako hatuwezi kukubali kujengewa kila kitu.
Labda walitaka kutujengea bure......!!Nchi gani hizo zilitaka kutujengea ikulu? Au ni China?